Habari zenu wakuu,
Naomba kwa mwenye kuweza kunisaidia mkopo wa sh. 1.5M Nina tatizo kubwa nahitaji litatua...Mimi ni muajiriwa kwenye NGO naomba nitakua nalipa kila mwezi 10% tafadhali sana...
Sina dhamana yoyote.
credit risk . inabidi uombe mkopo kwa mwajiri wako au ndugu zako
Na unaamini utapata?Habari zenu wakuu,
Naomba kwa mwenye kuweza kunisaidia mkopo wa sh. 1.5M Nina tatizo kubwa nahitaji litatua...Mimi ni muajiriwa kwenye NGO naomba nitakua nalipa kila mwezi 10% tafadhali sana...
Sina dhamana yoyote.
Shida wajingawatu kampekuwa alafu akamwanika JF kibokoNa unaamini utapata?
Ila sio mbaya kujaribu.