Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Watanzania wenzangu, ninakuja kwenu nikihitaji mkopo wa milioni tano, nirudishe mwezi january mwishoni. naweza kupaki gari lakini pia nidhaminiwe na mhasibu wa ofisi ikiwezekana. pamoja na spouse wangu. nina hilo gari lenye thamani ya kama mil 4 na nyumba haina hati, ila mimi ni mfanyakazi. Naomba ushirikiano wenu, mshahara wangu ni zaidi ya mil moja.
Tafadhali noamba msaada wenu kama watanzania wenzangu au binadamu wenzangu, nipo wakati mgumu sana lakini ninaweza kulipa kwa muda nilioutaja. tafadhali nitumie ujumbe kwenye 0763 894508 nitapiga. nipo tayari kulipa kwa riba ambayo tutakubaliana.
natanguliza shukrani
Tafadhali noamba msaada wenu kama watanzania wenzangu au binadamu wenzangu, nipo wakati mgumu sana lakini ninaweza kulipa kwa muda nilioutaja. tafadhali nitumie ujumbe kwenye 0763 894508 nitapiga. nipo tayari kulipa kwa riba ambayo tutakubaliana.
natanguliza shukrani