Mkopo kwa first year 2015/2016

Mkopo kwa first year 2015/2016

Duh...yaan hapa mi nmekomaa usiku mzima,kwenye bodi ya mikopo a/c yangu ya bodi na hamna jipya...wale wenye mchongo waseme,

Ninasikitika kuwa kuna watu humu wanatoa taarifa za uongo bila kujali kuwa kwa kufanya hivyo wanasababisha usumbufu Mkubwa kwa wengine. Heslb bado kutoa majina. Wakitoa lazima watoe na taarifa hiyo kwenye tovuti yao!
 
Back
Top Bottom