Hili mbona liko wazi sana. Ni hivi:
Form six wote na diploma holders wote, sifa mojawapo ya ku-apply mkopo ni uwe ulihitimu masomo yako kuanzia mwaka 2014 to 2016.
So, wale wote waliohitimu KABLA ya mwaka 2014, hawana sifa ya ku-apply mkopo, yaani don't bother!
-Kaveli-