unalosema ni kweli kwa kozi zote prioriyy cluster 2, ila kuna kozi ziliwekwa kama priority cluster 1 hizo zilipewa kipaumbele cha kutolewa mkopo bila kujali ulimaliza form 6 au diploma mwaka gan. Jaribu kupitia guide book vizuri utaelewa nin namaanisha.Hili mbona liko wazi sana. Ni hivi:
Form six wote na diploma holders wote, sifa mojawapo ya ku-apply mkopo ni uwe ulihitimu masomo yako kuanzia mwaka 2014 to 2016.
So, wale wote waliohitimu KABLA ya mwaka 2014, hawana sifa ya ku-apply mkopo, yaani don't bother!
-Kaveli-
mkuu anachosema ni kweli na guide book ya mkopo inasema hivyo kwa kozi zote zilizopo katika kipaumbele cha pili ambazo ni pamoja na kozi nyingi za engineering na kozi nyinginezo nyingi. Ila kuna kozi ziliwekwa katika kipaumbele cha kwanza zikiwema kozi zote za afya, ualimu wa sayansi na hisabati, mafuta na gesi pamoja na kozi ya ujenzi na umwagiliaji (civil and irrigation engineering), guide book inasema kwa yeyote atakaye pata chuo katika mojawapo ya kozi hizi atapata mkopo bila kujali amemaliza form six au diploma mwaka mwaka wowote huko nyuma. Jaribu kusoma vizuri guide book yao utaelewa.Hiyo 2014 had 2016 ndio wanaoruhusiwa kupata mkopo umeitoa wap, acha kupotosha watu , weka hiyo guideline inayosema hivyo cyo lazima kuchangia watu wako siriaz na swala la mkopo na watu bado wanasota nyumban hawajui hatma ya mikopo we unaleta utan humu, uwe na details zenye mshiko plz
Hiyo 2014 had 2016 ndio wanaoruhusiwa kupata mkopo umeitoa wap, acha kupotosha watu , weka hiyo guideline inayosema hivyo cyo lazima kuchangia watu wako siriaz na swala la mkopo na watu bado wanasota nyumban hawajui hatma ya mikopo we unaleta utan humu, uwe na details zenye mshiko plz
unalosema ni kweli kwa kozi zote prioriyy cluster 2, ila kuna kozi ziliwekwa kama priority cluster 1 hizo zilipewa kipaumbele cha kutolewa mkopo bila kujali ulimaliza form 6 au diploma mwaka gan. Jaribu kupitia guide book vizuri utaelewa nin namaanisha.