usiwe na wasiwasi wakianza omba utapata kabisa.
HABARI ZA LEO WANDUGU!!!
MATOKEO YANGU NI div.iii (PCB)(SEE)respectively.
NAOMBA MWENYE UELEWA KUHUSU MIKOPO YA BODI..! HIVI NAWEZA KUPATA KAMA NILIFANYA ACSEE 2013 KAMA MTAHINIWA BINAFSI(PC)...NATAKA KUSOMEA UUGUZI.
nadhani umejibiwa swali lako.shida si umri kabisa.kozi za ukunga na udaktari wanazilamba hadi watu wa miaka 34
Thanks guys!
Nitajaribu bahati.
Mwanzo nlikua najua heslb ni kwa watahiniwa wa shule tu(wanafunzi)....!
Nimefunguka.
Upo nnje ya mada tajwanna jamaa zangu wawili na msichana mmoja walifanya privete candidates(pc),mmoja anasomea ualimu DUCE,Mwingine yupo udsm,mmoja yupo st joseph makambako ,wote walilamba mkopo mwakajana.tena mmoja alikuwa na matokeo commerce s,econ-d,accounts e na kala mkopo wa nguvu,na anawazazi wote pia advance kasoma private ,o level gvt sembuse wewe upo kwenye priority?