Mkono akubali kufukuzwa CCM!

Mkono akubali kufukuzwa CCM!

Mkono si lazima avae gwanda, anaweza kwenda CCK unless aseme ule uchafu waliokuwa wanafanya pale BoT. CDM kweli itakuwa imejikwaa kwa mtu ambaye kanunua ubunge toka kwa aliyekuwa mgombea wa CDM. Anayo haki ya kujiunga CDM but lazima uchafu wake wote ujulikane kabla hajaingia kundini. Watasema mengi sana......si ajabu anajua Balali yuko wapi...teh..teh..teh
 
kwa kuwa hizi tuhuma za kifo cha MWALIMU zinaendelea kushika kasi basi 2015 wakati CDM ipo ikulu basi iundwe tume huru kuchunguza kifo cha mwalimu na wahusika wote wafikishwe kwa pilato! hawa wabunge Filikunjombe na mkono hakuna haja ya kuendelea kulalama kuna vyama vingi ukiona chama ulichopo hakikufai au hakitekelezi ilani na mambo mliyokubaliana na hakikubali kukosolewa unajiuzulu unajiunga chama kingine, kuna haja gani ya kuendelea kubweka wakati upo kwenye chama hichohicho kilichojaa rushwa,ufisadi wizi na mambo ya ajabu yasiyomsaidia mwananchi?? wabunge wote safi wakijitenga na CCM itaanguka kabla ya 2015! hakuna haja ya kuimba wimbo uleule kila siku wakati huchukui hatua!!
 
tusubiri maana kifo cha mwalimu kilitoka na kutofautina kwa rais na aliyekuwepo madarakani (ulevi) ndio maana kwa kauli za mwalimu ndio zilisababisha asirudi alipo enda india. tusubiri nilisha wahi pata taarifa za ndani kabisa biblia ninayoiamini ina sema "hakuna jambo ambalo halitafunuliwa nakutokea wasiwasi" tusubirini tu mengi tutayasikia na hii ni mwanzo tu
 
movie bado linaendelea
mda sio mrefu yataibuka mengi yatakayopelekea wabunge wa CCM kupigana hadharani live
na kuanika uozo wa kila mmoja wao.
Mungu hamfichi mnafiki siku hiyo yaja
 
Back
Top Bottom