Mwitongo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2009
- 312
- 360
- Thread starter
- #21
Siwezi kuzungumza/andika kwa kudhani Mkono ama yeyote wa siasa si lazima atoke chama kimoja kwenda kingine mwingine aweza kuamua kufanya shughuli zake binafsi, maadamu hajasema kuvaa gwanda basi tusimlishe maneno kwa taarifa za ukanjanja.
Toa mfano wa aliyejivua gamba akabaki akifanya shughuli zake! Ukishaingia katika siasa ni kama umeshaingia kwenye wanga!! Huwezi kuacha kuwanga eti kwa sababu uko ugenini! Mkono ni peopleeeees!