BABA JUNJO
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 241
- 14
Huyu mzee anaonyesha huko magamba yuko kwa bahati mbaya maana ameongea kwa uchungu sana juu ya Meremereta na amesema hataunga mkono hata kidogo hoja ya Ngereja. Eti jeshi wameona wamemaliza madini pale Buhare ndio wana wakabidhi kwa serikali na wamechakachua kila kitu hakuna hat meza na viti!! Hii serikali ni ya nani jamani? Sisi hatufanani na wale mababu ( machifu) waliokuwa wana pewa shanga na mashuka kisha wanawauza watu wao kwa wazungu? Hivi vizazi vijavyo watajivunia uwepo wetu kweli? HAWATAAMINI historia ama itakuwa Historia ya vichekesho kwao? INAUMA SANA.