ruaaika
Member
- Nov 4, 2010
- 52
- 9
Katika saloon moja katikati ya mji, kinyozi wa ki Tz akiwa na mteja wake toka DRC alichafukwa na tumbo ghafla, si ndo ushuzi ukamponyoka sasa kuzuga yule kinyozi akamhoji mteja wake: Waonaje hali ya hewa ya Tz?
Mteja wa kikongo; toka nakuya ilikua bye, ila ilivobalika sasa ikiendelela kwa dakika tano naapa itanyesha mvua ya mavi!
Mteja wa kikongo; toka nakuya ilikua bye, ila ilivobalika sasa ikiendelela kwa dakika tano naapa itanyesha mvua ya mavi!