Mkomoe mwanga


Enhee akikuluka na kukupeleka Polisi si kesi iyo
 

Umri sio tija ndugu kuna mengi huyajui tuache tu kama ilivyo
 

ok, ni kweli.
 
Mganga wa kienyeji katika ubora wake, Wateja miminikeni
 
ndulele tatu jivu ni ipi na hiyo damu yako ujikate au au mayone ya dam hayana lazima kama huwezi kujikata
 
Noma sana....university of wizard in JF.
 

Mi naomba 'course' ya jinsi ya kumtengenezea mtu mdoli wa 'VOODOO'!
 
Nilivyoona issue ya mwanga tu nikajua mshana hapa..!
 
Ukiweza kumtibua mwanga Hushindwi kumfurahisha Mwanga,Naomba dawa ya Kumfurahisha Mwanga ili niepuke adhabu mbele za Mungu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…