bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
Hukumuelewa Mshana amesema kama uramuhisi MTU anaekufanyia ubaya, pengine umemuona usingizini ba asubuhi unaweza ukakutana nae gengeni ile sura ikakujia na ukavuta wazo ndie Huyu niliemuona usingizini. Ujue ni yeye kweli hapo unatakiwa uchukue hatua alizozitaja
wewe jamaa mtata. uzi wako hauna uhalisia labda wanga wa ulaya au haya mambo umeyachukua kitabuni. Kumjua au kumuoa mwanga kunahitajika nguvu ya kishirikina na sio kirahisi hivyo unavyosema. Mi kwa umri wangu huu nakaribia miaka 50 sijawahi sikia mtu kumchota unyayo mwanga.
Hukumuelewa Mshana amesema kama uramuhisi MTU anaekufanyia ubaya, pengine umemuona usingizini ba asubuhi unaweza ukakutana nae gengeni ile sura ikakujia na ukavuta wazo ndie Huyu niliemuona usingizini. Ujue ni yeye kweli hapo unatakiwa uchukue hatua alizozitaja
Noma sana....university of wizard in JF.Wewe ndiyo unatakiwa mungu akurehemu mbona silaha zinauzwa dukani na ni hiyari yako ukanunue uitumie kuua binadamu mwenzako au mnyama na pia hilo somo na amekupa angalizo un a hiyari kufuata au kukataa uchawi upo hata kwenye vitabu vya dini umeandikwa na siyo kila kitu Mungu atakufanyia ndiyo maana umepewa akili ya lupambanua mema na mabaya na suala la kujihami na adui unatakiwa ufanye yale unayoyafahamu wewe kama binadamu na yaliyo nje ya uwezo wako Mungu atakusaidia ndiyo maana unafunga mlango ingelikuwa kila kitu ni Mungu basi hata milango tusingefunga kwakuwa mungu atakulinda hebu jaribu kutokupisha ambulance uone mungu atakulinda au??? IMANI ZINGINE JARIBUNI KUTAFAKARI KWA KINA KABLA YA KUKURUPUKA MIMI NAMPA BIG-UP MSHANA ENDELEA KUSHUSHA SOMO LA KAMATI YA UFUNDI ILA NI NANI UTAMPATA AKIWA PEKU SIKU HIZI NA KUNA WENGINE UKICHUKUA NYAYO ZAO KAMA MIMI HULALI SASA HAPO INAKUWAJE???
Leo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa
Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi
Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako
Kumtengeneza mtu mdoli tena?????? Hii kali ama kweli dunia ina mengi tusiyoyajua aiseeeeMi naomba 'course' ya jinsi ya kumtengenezea mtu mdoli wa 'VOODOO'!
Nilivyoona issue ya mwanga tu nikajua mshana hapa..!Leo nafundisha live...!!! Kwa wale wasiopenda natanguliza kuomba radhi TUVUMILIANE kuna baadhi wanaohangaishwa yatawafaa
Wanga ni watu hovyo sana hukufanyia mambo ya kukuchosha mwili na vitu vya ajabu ajabu bila faida yoyote
Hivyo basi mtu wa kaliba naye hana budi kupata shida kidogo pale inapobidi
Tafuta ufanikiwe kupata mchanga wa nyayo zake akiwa peku,tafuta ndulele tatu jivu pilipili kichaa au ----- na kipande kidogo cha kaniki....changanya vyote ikibidi twanga ongeza na matone kadhaa ya damu yako kisha funga kaza sana kwenye kipande cha kaniki
1. Sigina na kisigino huku ukinuizia kama unataka miguu imuume
2. Choma na sindano ukitaka miguu ichome chome
3. Banika motoni ukitaka miguu yake iwake moto
4. Kaanga kwenye kikaango kikavu ukitaka miguu imuwashe
Fanya hivi kama unaamini hizi mambo na una roho mbaya ya visasi...kumbuka kuna hukumu siku ya kiama
Sihusiki na matokeo ya matendo yako
Umenifanya niwaze hiko chumba chako sijui kipo kwenye hali ganiChoma mfupa wa noa vukiza moshi wake chumbani