Mkombozi bank wameita?

Mkombozi bank wameita?

we nae acha utoto sasa,unapata faida gani kufuatiliana na mtu msiejuana?kwani ni dhambi kwa mtu kuwa mjasiriamali wa bata au njiwa?nilitegemea umpongeze huyo kijana,naona kutokea jana umemwandama huyu dogo as if sijui anafanya kosa kutafuta kazi,mbona hata sie wakongwe bado tunatafuta kazi zenye maslahi na tunafanya interview na tunapigwa chini?iweje kwa huyu dogo iwe dhambi.mshaurini cha kufanya ili aweze kufanya vyema kwenye usaili ila sio huo utoto wa kumcheka na wakati na nyie mko mulemule tu hamna kazi kama yeye.kuweni wastaarabu bwana.
Anajifanya much know sana ndo maana watu wanamponda.! Ukiwa katika harakati za kutafuta kazi inabidi uwe na adabu na heshima kwa sababu hujui nani atakusaidia., ukianza kujibu shiit na dharau ndo tatizo. Huyu Perry inaonekana kweli ana uhitaji wa kazi, ila jaribu kuangalia threads zake na hata replies zake kwenye threads za wengine utaona kitu.
 
Anajifanya much know sana ndo maana watu wanamponda.! Ukiwa katika harakati za kutafuta kazi inabidi uwe na adabu na heshima kwa sababu hujui nani atakusaidia., ukianza kujibu shiit na dharau ndo tatizo. Huyu Perry inaonekana kweli ana uhitaji wa kazi, ila jaribu kuangalia threads zake na hata replies zake kwenye threads za wengine utaona kitu.
sasa kukwaruzana na jitu usilolijua humu huoni kama ni kupoteza muda na nguvu zenu tu?
 
kwani huyu Perry ni mdada?c wanasemaga ni senetor wa udsm huyu,ambaye kwa kumbukumbu zangu ni dume au mie ndo nachanganya madesa?

nakumbuka vyuo vingine vilivyokuwa vinapondwa na kuitwa vyuo vya kata mshikaji alikuwa mmoja wapo jukwaa la elimu daa kumbe vyuo visivyo vya kata na venyewe bahasha zinawahusu pia.
 
nakumbuka vyuo vingine vilivyokuwa vinapondwa na kuitwa vyuo vya kata mshikaji alikuwa mmoja wapo jukwaa la elimu daa kumbe vyuo visivyo vya kata na venyewe bahasha zinawahusu pia.
kama kawa wote wa kata na wa cuo ca taifa tunasaga lami ase...doo alikariri life,alizani bado tupo zama za nyerere. Ila sikuakitusua uyu jamaa sijui itakuaje umu jukwaani,nazani hatutolala vizur kwa mashauzi yake. Munu amtanulie katika ili zoezi though.
 
Back
Top Bottom