Mkombozi bank wameita?

Mkombozi bank wameita?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,354
kuna mwenye kujua kama mkombozi bank wameita zile kazi walizotangaza juzi kati?
 
Hata mimi niliomba mkuu perry....ila naona kimya,ngoja tuvute subrah kidogo.
 
Hata mimi niliomba mkuu perry....ila naona kimya,ngoja tuvute subrah kidogo.

Nami pia niliomba, customer service officer's, ila naona kimyaaaaa mpaka leo..... Na pia FIRST NATIONAL BANK na wenyewe sijui wameita?
 
Nami pia niliomba, customer service officer's, ila naona kimyaaaaa mpaka leo..... Na pia FIRST NATIONAL BANK na wenyewe sijui wameita?

me niliomba nafasi mbili,ya customer care na teller,vipi ntakua nimekosea mashart au inakuaje?
 
kuna mwenye kujua kama mkombozi bank wameita zile kazi walizotangaza juzi kati?

Duuuuh ndo kwa mara ya kwanza naona Perry anauliza kitu yeye majibu yake ni Tutawaita tuu msiwe na wasiwasi
 
Watu wapo training ya kaz(watu wapo kazini)
 
Kazi ya benki hapewi mtu wa mbali hata siku moja.! Kazi za benki kwa 90% ni kujuana., labda hizi benki ndogo ndogo like Access Bank kwa post zao za Loan Officers. Ila kazi ya benki hupati kirahisi rahisi.
 
we nae acha utoto sasa,unapata faida gani kufuatiliana na mtu msiejuana?kwani ni dhambi kwa mtu kuwa mjasiriamali wa bata au njiwa?nilitegemea umpongeze huyo kijana,naona kutokea jana umemwandama huyu dogo as if sijui anafanya kosa kutafuta kazi,mbona hata sie wakongwe bado tunatafuta kazi zenye maslahi na tunafanya interview na tunapigwa chini?iweje kwa huyu dogo iwe dhambi.mshaurini cha kufanya ili aweze kufanya vyema kwenye usaili ila sio huo utoto wa kumcheka na wakati na nyie mko mulemule tu hamna kazi kama yeye.kuweni wastaarabu bwana.
 
Back
Top Bottom