Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Labda tukubaliane na mleta mada kwanza ,halafu tumuulize maswali ya alichokiongea au alichotafiti.
Kwa sasa nchi yetu ina uhuru mkubwa wa kujielimisha kuliko tuliomaliza shule miaka ya tisini.
Swali langu kwa mleta mada,tuseme ni kweli waarabu hawakujenga shule wala kuwapa motisha jamii waliyoikuta kusoma,Je ,serikali yetu imewasaidiaje watoto kutoka jamii hizo?Je ,shule zilianzishwa kama shule za kata zinakidhi msingi wa kuwaelimisha jamii hiyo?Unapopeleka shule vijijini ambazo hazina walimu wa kutosha,wanye ujuzi wa kufundisha vizuri,shule zenye madawati na majengo mazuri,kwani miaka ya tisini tulikuwa na kila kitu madawati ya kutosha,walimu wazuri,miuondo mbinu ya kuridhisha shuleni,shule zilikuwa za bure.
Je,tunapomlaumu mtoto huyu au mzazi wake ni sahihi ilhali serikali imekaa pembeni ikitizama wachache wakijineemesha kwa mgongo wa wengi ,halafu leo tunasingizia watoto hawa sababu ya waarabu.Tafadhli tuwe realistic kwenye hoja zetu.
Kuna mtoto alikataa shule akamwambia mzazi wake hataki kukaa chini na kwamba walimu shuleni hawafundishi amtafutie shule nyingine ambayo watoto wanakaa kwenye viti na wanajifunza kiingereza,mzazi alibaki hoi.Kwa hili tu ninauhakika hakuna mtoto wa jamii yoyote asiyependa shule ili aelimike tusijidanganye
Kama watanzania tunatakiwa kuibana serikali iache blahblaa na isichezee elimu tusijetukajikuta tunaongozwa na wakenya na waganda kisa eti watoto wetu hawakuelimika vya kutosha hivyo hawawezi kuongoza,watanzania tuamke asubuhi ndiyo hii tusingoje kuchwe tuje kustuka.
Wabunge wetu mnaosinzia bungeni amkeni sasa,hali siyo nzuri ya watoto wetu sis jamii fukara.
Kwa sasa nchi yetu ina uhuru mkubwa wa kujielimisha kuliko tuliomaliza shule miaka ya tisini.
Swali langu kwa mleta mada,tuseme ni kweli waarabu hawakujenga shule wala kuwapa motisha jamii waliyoikuta kusoma,Je ,serikali yetu imewasaidiaje watoto kutoka jamii hizo?Je ,shule zilianzishwa kama shule za kata zinakidhi msingi wa kuwaelimisha jamii hiyo?Unapopeleka shule vijijini ambazo hazina walimu wa kutosha,wanye ujuzi wa kufundisha vizuri,shule zenye madawati na majengo mazuri,kwani miaka ya tisini tulikuwa na kila kitu madawati ya kutosha,walimu wazuri,miuondo mbinu ya kuridhisha shuleni,shule zilikuwa za bure.
Je,tunapomlaumu mtoto huyu au mzazi wake ni sahihi ilhali serikali imekaa pembeni ikitizama wachache wakijineemesha kwa mgongo wa wengi ,halafu leo tunasingizia watoto hawa sababu ya waarabu.Tafadhli tuwe realistic kwenye hoja zetu.
Kuna mtoto alikataa shule akamwambia mzazi wake hataki kukaa chini na kwamba walimu shuleni hawafundishi amtafutie shule nyingine ambayo watoto wanakaa kwenye viti na wanajifunza kiingereza,mzazi alibaki hoi.Kwa hili tu ninauhakika hakuna mtoto wa jamii yoyote asiyependa shule ili aelimike tusijidanganye
Kama watanzania tunatakiwa kuibana serikali iache blahblaa na isichezee elimu tusijetukajikuta tunaongozwa na wakenya na waganda kisa eti watoto wetu hawakuelimika vya kutosha hivyo hawawezi kuongoza,watanzania tuamke asubuhi ndiyo hii tusingoje kuchwe tuje kustuka.
Wabunge wetu mnaosinzia bungeni amkeni sasa,hali siyo nzuri ya watoto wetu sis jamii fukara.