mbaraka.m
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 209
- 37
Toka lini mtu anayesoma na kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto akawa na akili? Hiki ni ki nyume nyume
acha ujinga!kwa iyo we unajiona unaakili sana.
Toka lini mtu anayesoma na kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto akawa na akili? Hiki ni ki nyume nyume
Mwenzio hajazungumzia suala la dini wewe unakimbilia mitume, mitume kitu gani bwana, acha ujinga we jamaa, hao mitume wanakujua wewe?, to hell with your mitumez.
Yeye kasema wote wanaoandika kutoka kulia hawana akili ...aliwalenga waislamu..amesahau kuwa YESU alikuwa akisoma na kuandika kutokea kulia vile vile...kwa hiyo kwa mujibu wake YESU hana akilia...
Umeelewa ?
ni hesabu rahisi tu..kama hujaelewa niambie nirudie
wewe kweli mbaguzi ... baada ya kumrukia jamaa kamtukana YESU unanirukia mimi nnayemtetea ... hata kama huna dini inabidi umuheshimu YESU KRISTO wa NAZARETI kwani ni Kiongozi na ana wafuasi zaidi ya bilioni moja duniani
Toka lini mtu anayesoma na kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto akawa na akili? Hiki ni ki nyume nyume
Wewe unataka kumlisha maneno jamaa, hakuna sehemu ametaja yesu wa nazareti wala mohamed wa salalei salimu, Lengo lako wewe ni kuzusha uongo ili ibainike kuwa jamaa ametukana mitume, upate hisia za kidini toka kwa wasomaji, mbaya sana hii,
Sisi sote ni watanzania, ni bora tukapendana kwanza sisi bila kujali dini zetu halafu baadae ndio tujidai tunawapenda hao mitume ambao wala hawatujui.
Kiukweli sina dini ila ningekuwa nayo ningependa dini yangu iwe UPENDO.
Mawazo mgando yaliyokaa kiarabuarabu!!! Aisee, dini bwana ni kama kirusi kinachoingia kwenye computer na kuua kabisa hata basic operating system!!! Pole sana kwa kuwa mhanga wa kirusi.Sasa hao waliokuwa hawajatawaliwa na muarabu wameifikisha wapi tanganyika,au kuuza twiga wazimawaziama ndio kusoma kwingi?
watakuja na visingizio vya mfumo kristo mara M.O.U,ilimradi tu wa justify mapungufu yao kielimu/ilmu.Mara kadha nimekuwa nikijiuliza, kwanini Watu wa Maeneo yaliyokaliwa na mkoloni mwarabu hasa wale waliofuata utamaduni wa mkoloni mwarabu huwa hawafanyi vizuri kielimu!? Kisha nikapata majawabu kadhaa ambayo haikuwa rahisi kujua kama kweli yalikuwa sahihi au lah, majawabu hayo ni kama yafuatayo:
(i) mkoloni huyu hakutoa fulsa za kielimu kwa watu aliowatawala.
(ii) lifestyle ya huyu mkoloni inakinzana na elimu inayotolewa nchini hivyo watu wanaoiga lifestyle yake wanafeli mitihani.
(iii) uongozi uliofuata baada ya mkoloni mwarabu haukutoa fulsa za kielimu maeneo aliyoyakalia.
Tathmini yangu alikolezwa na habari niliyoisoma katika gazeti la Mwananchi kama inavyoonekana hapo chini.
KUTOKANA na mfumo wa elimu
ulivyo, mitihani hasa ile ya taifa,
ndicho kipimo kikubwa cha
kiwango na maendeleo ya elimu
nchini.
Ingawa baadhi ya wadau wa elimu
wamekuwa wakishauri mitihani
isiwe kipimo pekee cha elimu, bado
mfumo tulionao unatutaka
kuwapima wanafunzi kupitia
nyenzo ya mitihani pekee.
Kwa kipimo hicho, ni wazi kuwa
mikoa iliyo Pwani na Kusini mwa
nchi hii, ina tatizo la msingi katika
utoaji wake wa elimu.
Sote ni mashahidi kuwa, katika
mitihani wa kidato cha nne
uliofanyika mwaka 2011, shule nane
kati ya 10 zilizovuta mkia kitaifa,
zilitoka katika mikoa ya Pwani nat
Tanga
Kwa mujibu wa matokeo hayo, shule
hizo zilizokuwa na watahiniwa
zaidi ya 40, zilikuwa Bwembwera,
Pande Darajani, Mfundia, Zirai,
Tongoni (Tanga), Maneromango na
Kibuta (Pwani).
Kama hiyo haitoshi, matokeo ya
mtihani wa kidato cha pili
uliofanyika nchi nzima mwaka jana,
unaonyesha kuwa shule zilizofanya
vibaya zaidi kitaifa zinatoka ukanda
wa Kusini.
Shule hizo ni Kinjumbi, Miguruwe,
Njinjo, Mbembaleo, Marambo,
Mihambwe, Jinduma, Kiroma,
Luagala Napacho na Litipu.
Aidha, matokeo ya mtihani wa
kidato cha nne yalitoka wiki iliyopita
yanaonyesha namna shule za mikoa
hiyo zilivyofanya vibaya.
Kwa mujibu wa matokeo hayo,
orodha ya shule kumi za mwisho
inajumuisha shule nane zinazotoka
mikoa hiyo.
Shule hizo zenye watahiniwa zaidi
ya arobaini ni Mibuyuni (Lindi),
Ndame (Unguja), Namndimkongo
(Pwani), Chitekete (Mtwara),
Kwamndolwa (Tanga), Kikale
(Pwani), Mkumba na Tongoni
(Tanga).
Kwa mtu mdadisi wa mambo,
lazima ajiulize kwa nini shule
zinazotoka katika ukanda mmoja
ziwe nyingi katika kundi hilo.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo
ya Ufundi Philip Mulugo, anadhani
hali hiyo inasababishwa na uhaba
wa walimu jambo linalomfanya
asema kuwa mwaka huu Serikali
itapeleka walimu katika eneo hilo.
Mara kadha nimekuwa nikijiuliza, kwanini Watu wa Maeneo yaliyokaliwa na mkoloni mwarabu hasa wale waliofuata utamaduni wa mkoloni mwarabu huwa hawafanyi vizuri kielimu!? Kisha nikapata majawabu kadhaa ambayo haikuwa rahisi kujua kama kweli yalikuwa sahihi au lah, majawabu hayo ni kama yafuatayo:
(i) mkoloni huyu hakutoa fulsa za kielimu kwa watu aliowatawala.
(ii) lifestyle ya huyu mkoloni inakinzana na elimu inayotolewa nchini hivyo watu wanaoiga lifestyle yake wanafeli mitihani.
(iii) uongozi uliofuata baada ya mkoloni mwarabu haukutoa fulsa za kielimu maeneo aliyoyakalia.
Tathmini yangu alikolezwa na habari niliyoisoma katika gazeti la Mwananchi kama inavyoonekana hapo chini.
KUTOKANA na mfumo wa elimu
ulivyo, mitihani hasa ile ya taifa,
ndicho kipimo kikubwa cha
kiwango na maendeleo ya elimu
nchini.
Ingawa baadhi ya wadau wa elimu
wamekuwa wakishauri mitihani
isiwe kipimo pekee cha elimu, bado
mfumo tulionao unatutaka
kuwapima wanafunzi kupitia
nyenzo ya mitihani pekee.
Kwa kipimo hicho, ni wazi kuwa
mikoa iliyo Pwani na Kusini mwa
nchi hii, ina tatizo la msingi katika
utoaji wake wa elimu.
Sote ni mashahidi kuwa, katika
mitihani wa kidato cha nne
uliofanyika mwaka 2011, shule nane
kati ya 10 zilizovuta mkia kitaifa,
zilitoka katika mikoa ya Pwani nat
Tanga
Kwa mujibu wa matokeo hayo, shule
hizo zilizokuwa na watahiniwa
zaidi ya 40, zilikuwa Bwembwera,
Pande Darajani, Mfundia, Zirai,
Tongoni (Tanga), Maneromango na
Kibuta (Pwani).
Kama hiyo haitoshi, matokeo ya
mtihani wa kidato cha pili
uliofanyika nchi nzima mwaka jana,
unaonyesha kuwa shule zilizofanya
vibaya zaidi kitaifa zinatoka ukanda
wa Kusini.
Shule hizo ni Kinjumbi, Miguruwe,
Njinjo, Mbembaleo, Marambo,
Mihambwe, Jinduma, Kiroma,
Luagala Napacho na Litipu.
Aidha, matokeo ya mtihani wa
kidato cha nne yalitoka wiki iliyopita
yanaonyesha namna shule za mikoa
hiyo zilivyofanya vibaya.
Kwa mujibu wa matokeo hayo,
orodha ya shule kumi za mwisho
inajumuisha shule nane zinazotoka
mikoa hiyo.
Shule hizo zenye watahiniwa zaidi
ya arobaini ni Mibuyuni (Lindi),
Ndame (Unguja), Namndimkongo
(Pwani), Chitekete (Mtwara),
Kwamndolwa (Tanga), Kikale
(Pwani), Mkumba na Tongoni
(Tanga).
Kwa mtu mdadisi wa mambo,
lazima ajiulize kwa nini shule
zinazotoka katika ukanda mmoja
ziwe nyingi katika kundi hilo.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo
ya Ufundi Philip Mulugo, anadhani
hali hiyo inasababishwa na uhaba
wa walimu jambo linalomfanya
asema kuwa mwaka huu Serikali
itapeleka walimu katika eneo hilo.
Toka lini mtu anayesoma na kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto akawa na akili? Hiki ni ki nyume nyume
acha upumbavu wako wewe hakuna uhusiano wowote kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto mtu asiwe na akili. mimi mwenyewe nimesoma sana madrasa lakini form form nimepiga one ya point 11 na form six one ya tisa na kwa sasa ni engineer tena nimesomea nchi za ulaya. acha hujua mkuu. changia point na sio kukashifu dini za watu. pumbafff
Mbona hutaji Dar es salaam ?
Hiyo mikoa uliyotaja yote mnakimbilia pwani....
Haya tangu lini mtu akakimbia maendeleo akaenda kwenye dhiki ...
Uisitufanye sisi wehu
Hahaaa.... income ya mikoa yako yako yote unayojivunia ukiunganisha kwa pamoja haifikii wilaya ya ilala...
Kwa maelezo zaidi msome huyu
Barghash bin Said of Zanzibar - Wikipedia, the free encyclopedia
Dar es Salaam - Wikipedia, the free encyclopedia
Na lile jengo pale kivukoni linalo fanana na msikiti unajua nani kalijenga ?
Si unaona linavypendeza Hadi slaa anaota kwenda kuishi pale
acha upumbavu wako wewe hakuna uhusiano wowote kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto mtu asiwe na akili. mimi mwenyewe nimesoma sana madrasa lakini form form nimepiga one ya point 11 (Mi nilipata point 7) na form six one ya tisa(nilipata point 3) na kwa sasa ni engineer tena nimesomea nchi za ulaya(ni mwanasheria nimesoma havard). acha hujua mkuu. changia point na sio kukashifu dini za watu. pumbafff
kahesabu ghorofa zilizopo Ilala na Dar nzma kama hutakuta 90% ni za Mchaga,Mkinga na wenyeakili ya kutafuta pesa. Wala hukut kichwa maj kama wewe.
Dar ya weng ndiyo maana sikuitaja.
Pole kwa kukuumiza.
Tumia akili Hata Kidogo ...
Yesu Kristo aliongea Armaic pia inaandikwa kutoka kulia kwenda Kushoto....
Matamshi yake yapo karibu sana na kiarabu ... ni kama kiswahili cha kenya na Tanzania....
Hebrew lugha ya waisraeli nayo ni hivyo hivyo ni kama Kiarabu....
Hebrew alphabet - Wikipedia, the free encyclopedia
Aramaic language - Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa mujibu wa posti yako Mtume Muhammad (SAW) na Jesus Christ (AS) wote hawana akili...
Hawa wana wafuasi zaidi ya bilioni 4 duniani
Subiri wenye dini zao waje wakufundishe adabu...
Kama wewe ni mpagani waachie wenye dini zao ...usiwatukanie mitume yao
Asiyekubali ukweli hawezi kubadilika. Dar ni tofauti sana na maeneo ya Lindi, Pwani, Mtwara na Tanga (ukindoa Muheza na Lushoto). Dar ni mkusanyiko wa makabila na mataifa mbalimbali. Ukweli ni kwamba maeneo haya kimaendeleo bado sana.
Watu kutoka mikoa ya Kilimanjaro, Kagera, Mbeya na Mwanza wanakimbilia maeneo haya because there are a lot of untapped development opporunities. Hivi kuna mtu ambaye anaona kwamba kufanya hivi ni kufuata maendeleo ya maeneo husika? Hivi wazungu kuja huku TZ wanakuja kufuata maendeleo?