Mkoloni mwarabu na hasara zake kielimu

Mkoloni mwarabu na hasara zake kielimu

Status
Not open for further replies.

Mangi merry

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
221
Reaction score
41
Mara kadha nimekuwa nikijiuliza, kwanini Watu wa Maeneo yaliyokaliwa na mkoloni mwarabu hasa wale waliofuata utamaduni wa mkoloni mwarabu huwa hawafanyi vizuri kielimu!? Kisha nikapata majawabu kadhaa ambayo haikuwa rahisi kujua kama kweli yalikuwa sahihi au lah, majawabu hayo ni kama yafuatayo:

(i) mkoloni huyu hakutoa fulsa za kielimu kwa watu aliowatawala.

(ii) lifestyle ya huyu mkoloni inakinzana na elimu inayotolewa nchini hivyo watu wanaoiga lifestyle yake wanafeli mitihani.

(iii) uongozi uliofuata baada ya mkoloni mwarabu haukutoa fulsa za kielimu maeneo aliyoyakalia.

Tathmini yangu alikolezwa na habari niliyoisoma katika gazeti la Mwananchi kama inavyoonekana hapo chini.

KUTOKANA na mfumo wa elimu
ulivyo, mitihani hasa ile ya taifa,
ndicho kipimo kikubwa cha
kiwango na maendeleo ya elimu
nchini.
Ingawa baadhi ya wadau wa elimu
wamekuwa wakishauri mitihani
isiwe kipimo pekee cha elimu, bado
mfumo tulionao unatutaka
kuwapima wanafunzi kupitia
nyenzo ya mitihani pekee.
Kwa kipimo hicho, ni wazi kuwa
mikoa iliyo Pwani na Kusini mwa
nchi hii, ina tatizo la msingi katika
utoaji wake wa elimu.
Sote ni mashahidi kuwa, katika
mitihani wa kidato cha nne
uliofanyika mwaka 2011, shule nane
kati ya 10 zilizovuta mkia kitaifa,
zilitoka katika mikoa ya Pwani nat
Tanga
Kwa mujibu wa matokeo hayo, shule
hizo zilizokuwa na watahiniwa
zaidi ya 40, zilikuwa Bwembwera,
Pande Darajani, Mfundia, Zirai,
Tongoni (Tanga), Maneromango na
Kibuta (Pwani).
Kama hiyo haitoshi, matokeo ya
mtihani wa kidato cha pili
uliofanyika nchi nzima mwaka jana,
unaonyesha kuwa shule zilizofanya
vibaya zaidi kitaifa zinatoka ukanda
wa Kusini.
Shule hizo ni Kinjumbi, Miguruwe,
Njinjo, Mbembaleo, Marambo,
Mihambwe, Jinduma, Kiroma,
Luagala Napacho na Litipu.
Aidha, matokeo ya mtihani wa
kidato cha nne yalitoka wiki iliyopita
yanaonyesha namna shule za mikoa
hiyo zilivyofanya vibaya.
Kwa mujibu wa matokeo hayo,
orodha ya shule kumi za mwisho
inajumuisha shule nane zinazotoka
mikoa hiyo.
Shule hizo zenye watahiniwa zaidi
ya arobaini ni Mibuyuni (Lindi),
Ndame (Unguja), Namndimkongo
(Pwani), Chitekete (Mtwara),
Kwamndolwa (Tanga), Kikale
(Pwani), Mkumba na Tongoni
(Tanga).
Kwa mtu mdadisi wa mambo,
lazima ajiulize kwa nini shule
zinazotoka katika ukanda mmoja
ziwe nyingi katika kundi hilo.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo
ya Ufundi Philip Mulugo, anadhani
hali hiyo inasababishwa na uhaba
wa walimu jambo linalomfanya
asema kuwa mwaka huu Serikali
itapeleka walimu katika eneo hilo.
 
Ni kweli lakini sio sababu ni uvivu tu. Mfano Zanzibar wazee wa zamani kama Rasi shein na Bilal wamesoma sana wakati wa kizazi chao wengine mpaka PHD lakini miaka 40 baada yao elimu ni duni Zanzibar kuliko zamani. Hii ni kwasababu ya uongozi mbovu wakati wa Nyerere elimu ilikuwa lazima. Vilevile tumeona Juzi sisi tuliosoma miaka ya 1990's tuna elimu kuliko wadogo zetu kwasababu misingi ilikuwa bado mizuri.
 
Mara kadha nimekuwa nikijiuliza, kwanini Watu wa Maeneo yaliyokaliwa na mkoloni mwarabu hasa wale waliofuata utamaduni wa mkoloni mwarabu huwa hawafanyi vizuri kielimu!? Kisha nikapata majawabu kadhaa ambayo haikuwa rahisi kujua kama kweli yalikuwa sahihi au lah, majawabu hayo ni kama yafuatayo:

(i) mkoloni huyu hakutoa fulsa za kielimu kwa watu aliowatawala.

(ii) lifestyle ya huyu mkoloni inakinzana na elimu inayotolewa nchini hivyo watu wanaoiga lifestyle yake wanafeli mitihani.

(iii) uongozi uliofuata baada ya mkoloni mwarabu haukutoa fulsa za kielimu maeneo aliyoyakalia.

Tathmini yangu alikolezwa na habari niliyoisoma katika gazeti la Mwananchi kama inavyoonekana hapo chini.

KUTOKANA na mfumo wa elimu
ulivyo, mitihani hasa ile ya taifa,
ndicho kipimo kikubwa cha
kiwango na maendeleo ya elimu
nchini.
Ingawa baadhi ya wadau wa elimu
wamekuwa wakishauri mitihani
isiwe kipimo pekee cha elimu, bado
mfumo tulionao unatutaka
kuwapima wanafunzi kupitia
nyenzo ya mitihani pekee.
Kwa kipimo hicho, ni wazi kuwa
mikoa iliyo Pwani na Kusini mwa
nchi hii, ina tatizo la msingi katika
utoaji wake wa elimu.
Sote ni mashahidi kuwa, katika
mitihani wa kidato cha nne
uliofanyika mwaka 2011, shule nane
kati ya 10 zilizovuta mkia kitaifa,
zilitoka katika mikoa ya Pwani nat
Tanga
Kwa mujibu wa matokeo hayo, shule
hizo zilizokuwa na watahiniwa
zaidi ya 40, zilikuwa Bwembwera,
Pande Darajani, Mfundia, Zirai,
Tongoni (Tanga), Maneromango na
Kibuta (Pwani).
Kama hiyo haitoshi, matokeo ya
mtihani wa kidato cha pili
uliofanyika nchi nzima mwaka jana,
unaonyesha kuwa shule zilizofanya
vibaya zaidi kitaifa zinatoka ukanda
wa Kusini.
Shule hizo ni Kinjumbi, Miguruwe,
Njinjo, Mbembaleo, Marambo,
Mihambwe, Jinduma, Kiroma,
Luagala Napacho na Litipu.
Aidha, matokeo ya mtihani wa
kidato cha nne yalitoka wiki iliyopita
yanaonyesha namna shule za mikoa
hiyo zilivyofanya vibaya.
Kwa mujibu wa matokeo hayo,
orodha ya shule kumi za mwisho
inajumuisha shule nane zinazotoka
mikoa hiyo.
Shule hizo zenye watahiniwa zaidi
ya arobaini ni Mibuyuni (Lindi),
Ndame (Unguja), Namndimkongo
(Pwani), Chitekete (Mtwara),
Kwamndolwa (Tanga), Kikale
(Pwani), Mkumba na Tongoni
(Tanga).
Kwa mtu mdadisi wa mambo,
lazima ajiulize kwa nini shule
zinazotoka katika ukanda mmoja
ziwe nyingi katika kundi hilo.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo
ya Ufundi Philip Mulugo, anadhani
hali hiyo inasababishwa na uhaba
wa walimu jambo linalomfanya
asema kuwa mwaka huu Serikali
itapeleka walimu katika eneo hilo.

Huko ndg yangu wanapenda zaidi ile elmu akhera!!
Wao elmu dunia si muhimu kama elmu akhera! Hivi mwarabu aliwajengea shule kweli... Lahasha alijenga misikiti na madrasa kwa wingi!
Hata ukiwapelekea waalimu maprofessor ni ndoto..
 
Sasa hao waliokuwa hawajatawaliwa na muarabu wameifikisha wapi tanganyika,au kuuza twiga wazimawaziama ndio kusoma kwingi?
MIKATABA YA MADINI HARAMU NA kutoa misamahaya ya kodi, halafu kuhujumu ATCL mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi, hao wote nao uwataje bila kubagua kwa misingi ya kidini.
 
ndio hao hao waliotoa siraha kwa mkwawa na kuwadanganya kina kinjekitile, ili wampinge mjerumani kuingiza christianity Tanzania.
 
Kwani mwarabu bado anatawala mpaka sasa???

Sasa waliotawaliwa na wazungu mmeunda au kutengeneza nini mpaka sasa maana angalau hata hao waarabu wanajaribu kuwekeza kwa viwanda kama bakhesa?

Sijaona ukweli wowote katika mada hii isipokuwa upotoshaji wa kibaguzi ambao hautaisaidia taifa kokote sanasana inalirudisha taifa nyuma kwa kutoweza kuyatatua matatizo ya kielimu kama tulivoona matokeo.
 
sio kweli soma history wakati anakuja mkoloni mwingeleza alikuta jamii ya kiislamu inajua kusoma na kuandika na ndo wakawa makarani katika ofisi za waingeleza ila kilichokuja kutokea ni pale wamisionari wakristo walipokuja na mfumo wao mpya wakiuita formal education huku wakitambua kwa kufanya hivyo watawapata wafuasi zaidi kwani ili upate elimu bila shida basi ni lazima imani yako iwe kama ya Paul na ester huo ndo ukawa mwisho wa jamii za kiislamu kielimu inayoita elimu dunia ingawa waislamu wameagizwa wasome bila kuchagua ilimladi wasikufuru ktk hiyo elimu kwa hiyo mtoa mada usipende kutumia udini wako kufikiri tumia akili yako uliyopewa na mungu kuchambua mambo
 
Sasa hao waliokuwa hawajatawaliwa na muarabu wameifikisha wapi tanganyika,au kuuza twiga wazimawaziama ndio kusoma kwingi?

WALIPOIFIKISHA TANGANYIKA:
Hauwez fanansha maendeleo yaliyopo kwenye mikoa yenyeWakristo weng na yale yenye Waislamu weng.
Mf:Maendeleo yaliyoko Mwanza,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro ni tofaut sana na maendeleo yaliyoko Pwan,lindi,mtwara,n.k
 
watu wanatoka kwenye zima nzima ya topic na kuingiza mambo ya udini....lazima tukubali kuwa mwarabu hakuwaendeleza watu aliowatawala kielimu kutokana na sababu kuu moja...yeye mwenyewe alikuwa bado hajaingia kwenye mfumo wa formal education kama kwa nchi za magharibi...na hata maendeleo yake yalikuwa bado yapo chini ukilinganisha na wazungu......
 
Mara kadha nimekuwa nikijiuliza, kwanini Watu wa Maeneo yaliyokaliwa na mkoloni mwarabu hasa wale waliofuata utamaduni wa mkoloni mwarabu huwa hawafanyi vizuri kielimu!? Kisha nikapata majawabu kadhaa ambayo haikuwa rahisi kujua kama kweli yalikuwa sahihi au lah, majawabu hayo ni kama yafuatayo:

(i) mkoloni huyu hakutoa fulsa za kielimu kwa watu aliowatawala.

(ii) lifestyle ya huyu mkoloni inakinzana na elimu inayotolewa nchini hivyo watu wanaoiga lifestyle yake wanafeli mitihani.

(iii) uongozi uliofuata baada ya mkoloni mwarabu haukutoa fulsa za kielimu maeneo aliyoyakalia.

Tathmini yangu alikolezwa na habari niliyoisoma katika gazeti la Mwananchi kama inavyoonekana hapo chini.

KUTOKANA na mfumo wa elimu
ulivyo, mitihani hasa ile ya taifa,
ndicho kipimo kikubwa cha
kiwango na maendeleo ya elimu
nchini.
Ingawa baadhi ya wadau wa elimu
wamekuwa wakishauri mitihani
isiwe kipimo pekee cha elimu, bado
mfumo tulionao unatutaka
kuwapima wanafunzi kupitia
nyenzo ya mitihani pekee.
Kwa kipimo hicho, ni wazi kuwa
mikoa iliyo Pwani na Kusini mwa
nchi hii, ina tatizo la msingi katika
utoaji wake wa elimu.
Sote ni mashahidi kuwa, katika
mitihani wa kidato cha nne
uliofanyika mwaka 2011, shule nane
kati ya 10 zilizovuta mkia kitaifa,
zilitoka katika mikoa ya Pwani nat
Tanga
Kwa mujibu wa matokeo hayo, shule
hizo zilizokuwa na watahiniwa
zaidi ya 40, zilikuwa Bwembwera,
Pande Darajani, Mfundia, Zirai,
Tongoni (Tanga), Maneromango na
Kibuta (Pwani).
Kama hiyo haitoshi, matokeo ya
mtihani wa kidato cha pili
uliofanyika nchi nzima mwaka jana,
unaonyesha kuwa shule zilizofanya
vibaya zaidi kitaifa zinatoka ukanda
wa Kusini.
Shule hizo ni Kinjumbi, Miguruwe,
Njinjo, Mbembaleo, Marambo,
Mihambwe, Jinduma, Kiroma,
Luagala Napacho na Litipu.
Aidha, matokeo ya mtihani wa
kidato cha nne yalitoka wiki iliyopita
yanaonyesha namna shule za mikoa
hiyo zilivyofanya vibaya.
Kwa mujibu wa matokeo hayo,
orodha ya shule kumi za mwisho
inajumuisha shule nane zinazotoka
mikoa hiyo.
Shule hizo zenye watahiniwa zaidi
ya arobaini ni Mibuyuni (Lindi),
Ndame (Unguja), Namndimkongo
(Pwani), Chitekete (Mtwara),
Kwamndolwa (Tanga), Kikale
(Pwani), Mkumba na Tongoni
(Tanga).
Kwa mtu mdadisi wa mambo,
lazima ajiulize kwa nini shule
zinazotoka katika ukanda mmoja
ziwe nyingi katika kundi hilo.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo
ya Ufundi Philip Mulugo, anadhani
hali hiyo inasababishwa na uhaba
wa walimu jambo linalomfanya
asema kuwa mwaka huu Serikali
itapeleka walimu katika eneo hilo.
sidhani kama mwarabu alikuwa mkoloni hapa bara. yule alikuwa mfanyabiashara. labda kama huijui historia. waafrika aka akina mkwawa, kinjekitili, abushiri, hasan makunganya hawakupigana na waarabu kwa sababu hawakuja kutawala bali walikuwa wafanyabiashara tu. otherwise zitakuwa ni chuki.
 
Sasa hao waliokuwa hawajatawaliwa na muarabu wameifikisha wapi tanganyika,au kuuza twiga wazimawaziama ndio kusoma kwingi?
mkuu kwanza hawa watu hawajui kuwa historia imepindishwa. mwarabu hakuwa mkoloni tanganyika bali mfanya biashara. waulize kama alikuwa mkoloni mbona akina mkwawa, kinjekitili, abushiri, hasan makunganya hawakupigana nao? historia imepindishwa na sasa hivi tunaona aliekuwa mkoloni sahihi ndo mwema na aliyekuja kujifanyia biashara tu ndo amebabikizwa kuwa alikuwa mkoloni na kila baya ni lake. mitanzania ndivyo tulivyo, ajisemea crashwise kama sikosei.
 
sio kweli soma
history wakati anakuja mkoloni mwingeleza alikuta jamii ya kiislamu
inajua kusoma na kuandika na ndo wakawa makarani katika ofisi za
waingeleza ila kilichokuja kutokea ni pale wamisionari wakristo
walipokuja na mfumo wao mpya wakiuita formal education huku wakitambua
kwa kufanya hivyo watawapata wafuasi zaidi kwani ili upate elimu bila
shida basi ni lazima imani yako iwe kama ya Paul na ester huo ndo ukawa
mwisho wa jamii za kiislamu kielimu inayoita elimu dunia ingawa waislamu
wameagizwa wasome bila kuchagua ilimladi wasikufuru ktk hiyo elimu kwa
hiyo mtoa mada usipende kutumia udini wako kufikiri tumia akili yako
uliyopewa na mungu kuchambua mambo

mkuu unanikumbusha mada za radio Imaan...tutapumzika kidogo kwa miezi sita ijayo.
 
Toka lini mtu anayesoma na kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto akawa na akili? Hiki ni ki nyume nyume

Tumia akili Hata Kidogo ...

Yesu Kristo aliongea Armaic pia inaandikwa kutoka kulia kwenda Kushoto....
Matamshi yake yapo karibu sana na kiarabu ... ni kama kiswahili cha kenya na Tanzania....
Hebrew lugha ya waisraeli nayo ni hivyo hivyo ni kama Kiarabu....
Hebrew alphabet - Wikipedia, the free encyclopedia
Aramaic language - Wikipedia, the free encyclopedia

Kwa mujibu wa posti yako Mtume Muhammad (SAW) na Jesus Christ (AS) wote hawana akili...

Hawa wana wafuasi zaidi ya bilioni 4 duniani
Subiri wenye dini zao waje wakufundishe adabu...
Kama wewe ni mpagani waachie wenye dini zao ...usiwatukanie mitume yao
 
acha upumbavu wako wewe hakuna uhusiano wowote kuandika kuanzia kulia kwenda kushoto mtu asiwe na akili. mimi mwenyewe nimesoma sana madrasa lakini form form nimepiga one ya point 11 na form six one ya tisa na kwa sasa ni engineer tena nimesomea nchi za ulaya. acha hujua mkuu. changia point na sio kukashifu dini za watu. pumbafff
 
WALIPOIFIKISHA TANGANYIKA:
Hauwez fanansha maendeleo yaliyopo kwenye mikoa yenyeWakristo weng na yale yenye Waislamu weng.
Mf:Maendeleo yaliyoko Mwanza,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro ni tofaut sana na maendeleo yaliyoko Pwan,lindi,mtwara,n.k
Mbona hutaji Dar es salaam ?
Hiyo mikoa uliyotaja yote mnakimbilia pwani....
Haya tangu lini mtu akakimbia maendeleo akaenda kwenye dhiki ...
Uisitufanye sisi wehu

Hahaaa.... income ya mikoa yako yako yote unayojivunia ukiunganisha kwa pamoja haifikii wilaya ya ilala...

Kwa maelezo zaidi msome huyu
http://en.wikipedia.org/wiki/Barghash_bin_Said_of_Zanzibar

http://en.wikipedia.org/wiki/Dar_es_Salaam


Na lile jengo pale kivukoni linalo fanana na msikiti unajua nani kalijenga ?
Si unaona linavypendeza Hadi slaa anaota kwenda kuishi pale
 
uhuru bila a watu wa pwani usingepatikana,,,,hata huyo shoga yenu nyerere anaiheshimu pwani
 
uhuru bila a watu wa pwani usingepatikana,,,,hata huyo shoga yenu nyerere anaiheshimu pwani

Wanalifanya hawalijui hili ... nyerere kawekwa mjini na wazee wa pwani....nauli ya kwenda UN kapewa na wazee pwani halafu wanaleta kejeli huku wanakimbilia pwani kila siku ..nenda ubungo pale uone watu wanavyotiririka ....
Wenyewe wanakuita mjini
 
Mwenzio hajazungumzia suala la dini wewe unakimbilia mitume, mitume kitu gani bwana, acha ujinga we jamaa, hao mitume wanakujua wewe?, to hell with your mitumez.
Tumia akili Hata Kidogo ...

Yesu Kristo aliongea Armaic pia inaandikwa kutoka kulia kwenda Kushoto....
Matamshi yake yapo karibu sana na kiarabu ... ni kama kiswahili cha kenya na Tanzania....
Hebrew lugha ya waisraeli nayo ni hivyo hivyo ni kama Kiarabu....
Hebrew alphabet - Wikipedia, the free encyclopedia
Aramaic language - Wikipedia, the free encyclopedia

Kwa mujibu wa posti yako Mtume Muhammad (SAW) na Jesus Christ (AS) wote hawana akili...

Hawa wana wafuasi zaidi ya bilioni 4 duniani
Subiri wenye dini zao waje wakufundishe adabu...
Kama wewe ni mpagani waachie wenye dini zao ...usiwatukanie mitume yao
 
uhuru bila a watu wa pwani usingepatikana,,,,hata huyo shoga yenu nyerere anaiheshimu pwani
Aisee mkuu samahani, umesema nani yetu Nyerere?, Kama hii ndio dini inayokufundisha kukosea adabu wakubwa namna hii, nakuhakikishia umeingia chaka mkuu, pole zako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom