Mkokoteni kuvuta farasi

Mkokoteni kuvuta farasi

mangyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
723
Reaction score
878
Kuna issue ya muhimu sana spika kaiongea leo ambayo alinong'onezwa na wachina kwa isue ya bandari na reli. Kwamba ungetangulia ujenz wa bandari maana reli zitategemea mizigo kutoka huko.

Issue hii nimeiona iko sawa kwa upande wangu. Ila pia kuna jambo nimelifikiria kwa mda sana kuhusu UCHUMI WA VIWANDA. kiukweli nalo hili ni MKOKOTENI KUVUTA FARASI. Kwa sababu moja.

Viwanda vingi hapa kwetu vinategemea kilimo so naona KILIMO KWANZA ndo ingekua grand project ili tufikie uchumi huo wa viwanda. Isue nyingine ni uandaaji wa wataalamu wa hivyo viwanda pamoja na mazingira rafiki kwa viwanda.

Tukija kwenye isue ya usafiri wa anga bado napo kuna MKOKOTENI KUKOKOTA FARASI. Tumesikia kuna isue ya Shirika letu kujiendesha kwa hasara. Uhaba wa wataalamu pamoja na viwanja. Hivi ndo vingepewa priority na si ndege kwanza ili baadae Farasi akokote mkokoteni wake.

Siipingi serikali bali kiukweli iangalie ni jambo gani lipewe priority kwa faida ya baadae.
 
Yani awamu zenu mureeeeeee....Mimi ndio nisireeeeee......

Lilisikika jiwe moja....
 
Unalijua hili dili hapa; mwenzio akinyolewa wewe tia maji.

1096876

1096877
 
Spika wa bunge analalamika kama kuku anayetaka kuchinjwa, hayo angeyasimamia bungeni sio kutoa mifano ya wanyama kwa sababu ni bwana wanyama
 
Leo Ndugai amekuwa mtu wa maana kwa makamanda, duh.

Wapinzani husimamia Ukweli penye Ukweli husimamia Ukweli Ndungai kasema Ukweli na sasa Ukweli umeanza kuwauma Naibu Rais Daud Maliyamungu Bashite anapanga njama za Kuwatisha wabunge wa CCM waache kuhoji chochote
 
Mkokoteni kuvuta Farasi
Huu msemo umeanza kupata umaarufu
 
Mbona anapangiwa kila kitu na Daud Maliyamungu Bashite?
Mizimu yake jiwe imemuambia kuwa nguvu za ufalme wake ziko kwa bashite kwahiyo akimpuuza bashite na yeye anafika mwisho wa utawala wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom