Mkoa wa Mara umeikosea nini Serikali ya CCM?

Mkoa wa Mara umeikosea nini Serikali ya CCM?

Ni kweli kwamba baba wa Taifa Hayati Mwl Julius K. Nyerere alikuwa ni mzaliwa wa mkoa huu na ambaye ndiye alikuwa mwasisi mkuu wa TANU na hatimaye CCM. Licha ya hiyo naweza sema kwamba mkoa huu umesaulika sana na katika shughuli za maendeleo ya jamii. Mkoa unakabiliwa na miundombinu mibovu, huduma mbovu za maji, elimu na afya.

Swali langu ni Je mkoa huu umewakosea nini watawala wote waliopita na wa sasa ndani ya serikali ya CCM??

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali inamuenzi Baba wa Taifa wa vitendo, hakutaka mkoa wako uwe wa kisasa, alipenda ubaki na asili yake ndio maana Nyerere hakupeleka rami Butihama.

Hata Nimrod Mkono Buswege amejenga nyumba ya kisasa baada ya Nyerere kufa, hata matajili wa mkoa wa mara wengi hawana spirit ya kuwekeza kwao, sababu kuu ni huyuhuyu mzee mwenye JK Nyerere.

Tatizo la mkoa wa Mara ni ujamaa wa Nyerere msitafute mchawi. Nyerere alihakikisha rami ipo kutoka Mwanza hadi border ya Sirari hilo ndio lilikuwa la msingi kwake lakini mambo mengine alitaka wote muwe wajamaa.
 
Kumbe ndio kwenu, Kwenu ambako Wazawa wa Mkoa wako hawapendi kwao, wao hujenga Mikoa mingine na kuacha kwao wanazidiwa hata na Wachaga! Tazama walivyojaa hapa Mwanza, Arusha, Dar, Iringa na Morogoro tena kwa Kujenga Majengo, Viwanda, na Mahoteli makubwa! Hamasisheni Wazawa wenu warudi wajenge kwenu, Acheni kulalamikia Serikali!
Mchawi wa mkoa wa Mara ni Nyerere, wacha niishie hapa nisijeitwa mchochezi, maana huyu ni mwenyeheri miaka ijayo atakuwa mtakatifu.
 
Ni mkoa gani ulijijenga kwa mfano bila ya serikali kutia haraka yake?
Ni mawazo ya Kimasikini kutegemea Misaada kutoka Serikali Kuu wakati Wananchi ndio wenye Serikali!
 
Ccm mbwa sna .....wanachuki hadi na baba wa taifa eti kisa aliwazuia kuingia mikataba mababu zao yaani ccm walitaka wawe matajiri zaidi ya walivyo sasa...ndo maana hata huyu mzalendo anakinunulia bormberdier na kujijengea international airport bila kufuata SHERIA ya manunuzi kwani madiri mengi wamefanya watangulizi wake.
NASEMA ccm WANA HASIRA SN NA MWL NYWRERE
Wee nawe mambo ya CCM na Nyerere yamekujaje hapa? Jadili hoja sio Vyama na Watu, hatupendi majungu!
 
Nyerere alichangia umaskini Wa mkoa Wa Mara,akiwa raid alichosaidia ni kujenga daraja LA kirumi tu,na kiwanda cha nguo musoma.
 
Ndo dawa wa wasaliti, yaani mkawapiga chini wagombea wote wa ukawa mkidhini mtakuja kugaiwa maziwa .

Hahahaha pambaneni na hali zenu

Kaka unajielewa kweli? au hujui unachokisema? fanya tafiti kwanza usiongee usiloliju haya data hii hapa

JIMBO MBUGE CHAMA
Rorya Lakairo ccm
Tarime M Matiko cdm
Tarime V Heche cdm
Serengeti Ryoba cdm
Musoma M Mathayo ccm
Musoma V Muhongo ccm
Butiama Mkono ccm
Bunda Bulaya cdm
Mwibara Lugola ccm

CCM 5 CHADEMA 4 , HAYA LETA TAKWIMU YA MKOA WAKO KILAZA WEWE.
 
Kaka unajielewa kweli? au hujui unachokisema? fanya tafiti kwanza usiongee usiloliju haya data hii hapa

JIMBO MBUGE CHAMA
Rorya Lakairo ccm
Tarime M Matiko cdm
Tarime V Heche cdm
Serengeti Ryoba cdm
Musoma M Mathayo ccm
Musoma V Muhongo ccm
Butiama Mkono ccm
Bunda Bulaya cdm
Mwibara Lugola ccm

CCM 5 CHADEMA 4 , HAYA LETA TAKWIMU YA MKOA WAKO KILAZA WEWE.


Sawa mkuu nilitereza hapo
 
Back
Top Bottom