gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,473
- 4,671
Kumbe, basi kinachoikabili Mara kama Mbeya tu ilivyosuswa na serikali
Kumbe ndio kwenu, Kwenu ambako Wazawa wa Mkoa wako hawapendi kwao, wao hujenga Mikoa mingine na kuacha kwao wanazidiwa hata na Wachaga! Tazama walivyojaa hapa Mwanza, Arusha, Dar, Iringa na Morogoro tena kwa Kujenga Majengo, Viwanda, na Mahoteli makubwa! Hamasisheni Wazawa wenu warudi wajenge kwenu, Acheni kulalamikia Serikali!Mhhhhhh, umenigusa maana huko ndo nyumbani. Anyway, acha tuone miaka 5 haijaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naskia huko kumefungwa mitambo ya THAAD ya kuzuia maendeleo....
Huko Mara kuna visa vya kutisha sana.... Acheni kwanza UCHAWI na mfanye kazi maendeleo yapo..
Msisahau kulipa kodi TRA na mtumie machine za EFD... Kwa maendeleo ya Mara
Mliwahi kujitangazia Uhuru wenu miaka ya nyuma, nasikia. Labda ndilo linalowagharimu...Ni kweli kwamba baba wa Taifa Hayati Mwl Julius K. Nyerere alikuwa ni mzaliwa wa mkoa huu na ambaye ndiye alikuwa mwasisi mkuu wa TANU na hatimaye CCM. Licha ya hiyo naweza sema kwamba mkoa huu umesaulika sana na katika shughuli za maendeleo ya jamii. Mkoa unakabiliwa na miundombinu mibovu, huduma mbovu za maji, elimu na afya.
Swali langu ni Je mkoa huu umewakosea nini watawala wote waliopita na wa sasa ndani ya serikali ya CCM??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwambamaendeleo gani unayazungumzia,mbona huduma zote zipo?au ulitaka mara ifanane na New York?
Ni mkoa gani ulijijenga kwa mfano bila ya serikali kutia haraka yake?Mkoa wa Mara utajengwa na WanaMara wenyewe, Acha kulalamika!
..Kula samaki..Alafu Tanga na Sumbawanga waache nini?
Siga okufuma owejanyu kutyo goUlimumu sana awe go! Mafya
Hayo siyo maendeleoSerikali ipeleke mapanga na majambia kwa jamaa zetu hao maana nihitaji lao kutoka damuni
HujielewiNdo dawa wa wasaliti, yaani mkawapiga chini wagombea wote wa ukawa mkidhini mtakuja kugaiwa maziwa .
Hahahaha pambaneni na hali zenu