chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,663
Ni kilimanjaro pekee, mkoa ambao machief walianza kuvaa suti miaka ya 1900 wakati mikoa mingine wakivaa magome ya miti au kutembea uchi.
Disemba hii wanaenda makwao wakiwa hawaogopi kurogwa na waliowaacha huko. Fatma Mwassa amegundua wahaya hawarudi kwao kwa kuogopa uchawi(bulogo),wameacha ma nyaruju huko waliyotumia kufuga majini,Mwassa kaitisha harambee kuwaita wahaya, rukwa na kigoma, mwanza,geita, mara,simiyu kwenye magambushi,wao wakienda makwao wanaingia usiku na wakiondoka hawaagi.
Hongereni wachaga
Disemba hii wanaenda makwao wakiwa hawaogopi kurogwa na waliowaacha huko. Fatma Mwassa amegundua wahaya hawarudi kwao kwa kuogopa uchawi(bulogo),wameacha ma nyaruju huko waliyotumia kufuga majini,Mwassa kaitisha harambee kuwaita wahaya, rukwa na kigoma, mwanza,geita, mara,simiyu kwenye magambushi,wao wakienda makwao wanaingia usiku na wakiondoka hawaagi.
Hongereni wachaga