Nimefanya kazi kwenye mradi wa barabara kwa miezi mitatu kutokea Same hadi Rombo na baadae Himo hadi KIA nimegundua haya.
1. Vijana wengi wa uchagani ni walevi addicted full alcoholic hata afya zao zimetetereka sana. Hawa wezi kazi yoyote zaidi YA kutafuta pombe kali zilizopo.
2. Wilaya ZA Same na Mwanga kuna vuguvugu kubwa la mafunzo yasiyoeleweka YA kidini, kuna wageni wengi wapo kama wahubiri na jioni wapo kwenye nyumba za ibada. Huwezi gundua kama hauko karibu na vijana. Nahisi kuibuka kwa fundamentalism.
3. Mpaka wa Kenya uko free sana. Watu wanamove tu toka Kenya to ugweno na sehemu zingine hasa Muda wa jioni. Fuso zinatumika kupakia wageni vizuri tu hasa mida YA saa 3 hadi 10 usiku.
Tutulie tu tutavuna.
1. Vijana wengi wa uchagani ni walevi addicted full alcoholic hata afya zao zimetetereka sana. Hawa wezi kazi yoyote zaidi YA kutafuta pombe kali zilizopo.
2. Wilaya ZA Same na Mwanga kuna vuguvugu kubwa la mafunzo yasiyoeleweka YA kidini, kuna wageni wengi wapo kama wahubiri na jioni wapo kwenye nyumba za ibada. Huwezi gundua kama hauko karibu na vijana. Nahisi kuibuka kwa fundamentalism.
3. Mpaka wa Kenya uko free sana. Watu wanamove tu toka Kenya to ugweno na sehemu zingine hasa Muda wa jioni. Fuso zinatumika kupakia wageni vizuri tu hasa mida YA saa 3 hadi 10 usiku.
Tutulie tu tutavuna.