Mimi nyumbani kanda ya ziwa na mtu yeyote analiamini hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI KILICHOINGIA UBIA NA FISADI LOWASSA NI MPUMBAVU.
Halooo, heri kuwa nyumbu na kupata maendeleo kuliko kujifanya huwezi kuwa nyumba eti mjuaji halafu maendeleo katika karne hii hakuna. Unajua Kigoma ndio mkoa unaongoza kwa watu wengi ambao hawajui matumizi ya vyoo? Sasa kama watu wengi mahali hawana vyoo wanajisaidia machakani na wengine ziwani unadhani ni mfano wa kuigwa kweli?
Maneno kama haya wacha tupate hasira tu wana kigoma, MAGUFULI FOR CHANGE kwa URAIS na ACT-WAZALENDO ubunge na udiwan.
Kumbe Zana Za Kilimo bado anawajambisha?
Kila mwenye akili timamu tayari ameshafanya maamuzi mpaka sasa.
Never hunt what you can't kill.
HARD TARGET!!
Afya hairuhusu.Usilete ukabila/umikoa ktk nyakati hizi za majeruhi, ni wakati wa kuunganisha nguvu pamoja bila kujali mapenzi ya mtu binafsi juu ya mtu fulani. Tatizo la ukawa mkoani kigoma ni kwamba EL hakufika wilaya zote(kasulu,kibondo,buhigwe,uvinza na kakonko). Asiporudi kigoma ktk wilaya hizo basi atapoteza kura nyingi mno kutoka huko, ikumbukwe makufuli amepita kata kwa kata mkoani humo. Je, kwa nn EL hakufika wilaya zote kigoma?
Mjifunze kwa anakotoka Dr.Slaa na Prof.Lipumba.
Dhana ya 'ukwetu ukwetu' itawagharimu na ni jambo la aibu kwa nchi yetu isiyo na ukabila waka ukwetu kwetu.
Kiongozi natamani sana tena saba mabadiliko lakini ,Kigoma mjini hali siyo nzuri,niko KIGOMA MJINInitajie kigoma uliyopo ipi na siyo unadanganya walioko lumumba ili upate b7.
.!
Kuna laghai anayemfikia huyu anayetuomba kura akamtoe Nguza jela?!Mabadiliko hayawezi kuzuiwa na mkoa mmoja tu tena kigoma! Na pia sidhani kama watu wote wa kigoma wana akili ndogo kiasi hicho cha kuiamini tena ccm na ulaghai wake
Wanamwogopa kweli.Si walishasema kuwa huyu msaliti harudi bungeni??
Kigoma hakuna act huo ndio ukweliKigoma hamna UKAWA trust me.UKAWA wangewakubali ACT kwa ajili ya kura za kule
??????????!!!!.....Nakuona wewe uliyeanzisha habari hii ndio utakuwa hujitambui! Elewa Unapoizungumzia Kigoma lazima uwe na adabu kwasababu unakuwa umezungumzia na umegusia ukombozi wa taifa. Kwa ufupi tu watu wa Kigoma wanajitambua nani watu wenye misimamo isiyoyumba, wanasimamia kile wanachokiamini. Kwahiyo tuwaheshimu kwasababu wao pia ni Watanzania na wanahaki ya kuchagua chama kitachowaletea maendeleo!
Nawashauri viongozi wa UKAWA waweke mikakati maalumu ya kushawishi wapiga kura wa mkoa wa Kigomo waipigie UKAWA kura za ushindi na si kupiga kura za hasira au za kuikomoa UKAWA kwasababu ya mtu mmoja na chama chake.
Pamoja na mapokezi mazuri aliyoyapata mgombea wetu wa UKAWA,nashauri ikiwezekana, mh. Lowassa na timu yake warudi tena Kigoma na ujio wake safari hii utanguliwe na maandalizi kabambe ya kuwavuta na kuwashawishi wale ambao bado wana mtazamo hasi juu ya UKAWA/CHADEMA waachane nao na ingefaa safari hii afike maeneo ambayo hakuyafikia mara ya kwanza(remote areas).
Mbali na Lowassa kurudi tena Kigoma, viongozi wa ngazi za Mitaa,Kata na Wilaya wawezeshwe kufanya campaign za ziada kushawishi wakazi wa huko kuachana na yaliyopita na kutoa ufafanuzi wa nini kilitokea iwapo maelezo ya ziada bado yanahitajika ili watu hawa wawe convicied kuwa chama hakikuwa tatizo bali tatizo alikuwa mtu wao waliempenda na kumuamini(kama ni kweli).
Watu wa mkoa wa Kigoma,tofauti na watu wa mikoa mingine,nahisi bado wana ile dhana ya "ukwetu ukwetu" katika kufanya maamuzi-jambo baya kabisa!
Sihitaji kueleza kila kitu kwa uwazi hapa kwani wengi tulikuwa mashuhuda wa kilichotokea na jinsi watu wa Kigoma walivyo-react(ingawa si wote).
Narudia,katika ushindani huu mkali,mkoa huu tuutazame kwa uzito wa kipekee kwani tusipokuwa makini unaweza ukatuletea makandokando.
Mikoa mingine yote sina wasiwasi hata kule anakotoka Dr.Slaa isipokuwa mkoa huu tu.
NB:Mwaka huu,tofauti na miaka mingine, mshindi wa uraisi anaweza kupatikana kwa tofauti ya kura hata 800,000 tu au zikizidi sana basi ni 1000,000 tu.
angalia mpesa yako.
malipo ya leo yameingia toka kwa agent wa rostam aziz kwa ajili ya post nzuri
Nina wasiwasi sana na hawa jamaa kupiga kura za kukomoa tu kisa yule jamaa yao.