K K.hewa Senior Member Joined Oct 18, 2012 Posts 165 Reaction score 33 Jul 27, 2015 Thread starter #21 Hunyu said: Poleeni, kuna mgawo wa chinichini nchi nzima. Click to expand... mgaoo wa huku umezidii yaan wiki nzima hauoni taa ikiwaka wala nn
Hunyu said: Poleeni, kuna mgawo wa chinichini nchi nzima. Click to expand... mgaoo wa huku umezidii yaan wiki nzima hauoni taa ikiwaka wala nn
Kaisari JF-Expert Member Joined Nov 13, 2012 Posts 3,636 Reaction score 3,045 Jul 27, 2015 #22 Bado haujawa Dubai. Nakumbuka nilisikia itakuwa Dubai ya Tanzania. Au sio huko? Kwani Dubai umeme huwa unakatika?????
Bado haujawa Dubai. Nakumbuka nilisikia itakuwa Dubai ya Tanzania. Au sio huko? Kwani Dubai umeme huwa unakatika?????
omunatta JF-Expert Member Joined Jun 11, 2015 Posts 236 Reaction score 139 Jul 27, 2015 #23 Mtanyoooka tu.....makanyagio,kawajese, kichangani, fisi kote giza...tehe tehe tehe niwaulize tu mmejiandikisha...?
Mtanyoooka tu.....makanyagio,kawajese, kichangani, fisi kote giza...tehe tehe tehe niwaulize tu mmejiandikisha...?