Mkoa wa Katavi hatuna umeme wiki ya pili

Mkoa wa Katavi hatuna umeme wiki ya pili

K.hewa

Senior Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
165
Reaction score
33
Nipo mkoa wa Katavi Mpanda mjini.

Ni wiki ya pili sasa hakuna umeme. Yaani imekua shida sana tupo gizani na hakuna sababu ya maana iliyotolewa.

Wafanyakazi na wafanyabiashara tunateseka sanaa.

Ebu mamlaka husika mshuhulikie hili jambo, hali sio nzuri kabisa.
 
Mfuga nyuki yeye kachukulia umeme wake wa uhakika toka sumbawanga hadi kibaoni.kisha wasahau! Kawaongezea wilaya,jimbo na kawapa na manisipaa wakati majenereta yote yanechoka! Maji ndo shida tup
 
Mfuga nyuki yeye kachukulia umeme wake wa uhakika toka sumbawanga hadi kibaoni.kisha wasahau! Kawaongezea wilaya,jimbo na kawapa na manisipaa wakati majenereta yote yanechoka! Maji ndo shida tup
j
 
vyakula kama mchele umepanda bei kwasababu mashine za kukoboa mpunga hazifany kazi..pia shughuli zooote zinazohusisha umeme zimekwama kwa asilimia 90.. Vijana wanalia njaa mtaani
 
af serikali imetusahau sana huku katavi yani hadi natamani nirudi nilikotoka
 
Baada ya Mijengo Pindaa kuonekana kutokuwa na imani na mchakato wa Kutamtafuta mgombea urais kupitia chama chake Tawala, Utawala umeamua kumpa adhabu hiyo
 
Mfuga nyuki yeye kachukulia umeme wake wa uhakika toka sumbawanga hadi kibaoni.kisha wasahau! Kawaongezea wilaya,jimbo na kawapa na manisipaa wakati majenereta yote yanechoka! Maji ndo shida tup

Mkuu Maji yapo ya uhakika
Mwaka jana mradi wa maji mkubwa sana umefanyika hapo.
 
Poleeni, kuna mgawo wa chinichini nchi nzima.
 
Na itazidi maana huyo muanzilishi wa mkoa mumemkata hata kabla ya 5 bora.
 
Hela zooote jamaa wamenunua Hilux Double Cabin nchi nzima zimepigwa chata la DM ...... yaaani District Manager. Fikiria wilaya ngapi tunazo na idadi ya hizo gari. Then Mkoa kama Ktv hawana umeme wa uhakika. Polen naamin busara zitawatoa gizan.
 
nipo huku kasimba mkoani saivi huku umeme ni full time nikiwauliza wamekatiwa lini anasema et amesahau sas sijui inakuaje au ni dharau tu?
 
Si mnachaguaga chama sikivu, haya kiambieni kiwasikilize. Njoo Ubungo, Kawe, Moshi, Arusha, Mwanza yote...yaani majimbo yoote ya CHADEMA umeme unawaka pwaaaa. Endeleeni kuchagua chama sikivu.

Mtoto wa mkulima unae hapo nimsalimie....Kumbe kamati ya maadili haina imani naye...Inateua kijana mdogo kabisa inamuwacha sitting Power Minister
 
Back
Top Bottom