Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,966
- 5,559
Hapo vipi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.
Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.
Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..
Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.
Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.
Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.
Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.
Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.
Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.
Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.
Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.
Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo chini, mkoa wa Arusha umeendea kusahaulika na kutelekwezwa, awamu hii japo ndio mkoa unaochangia mapato makubwa katika Nchi hii.
Miundo mbinu ndani ya mjini, imegeuka kama mito, chini ya uongozi wa Mrisho Gambo huu mkoa umekuwa na hali mbaya kimaendeleo.
Kuna hii barabara ya kutoka white rose na pale mianzini zimekuwa kama mito ndani ya mjini..
Cha kujiuliza mkoa nyeti Kama mkoa wa Arusha, yenye fursa za kitalii ,makao mkuu ya Afrika Mashariki.. Inatelekezwa hivi kisa hila za kisiasa ,inakuwa haina maana Kwa sababu hauwakomoi watu wa Arusha peke yao ila ni Taifa nzima, kwasababu watalii wanapenda mkoa wenye miundo mbinu nzuri.
Sasa Kama utamzungusha Mzungu kwenye mashimo namna hii, unategemea akirudi kwao atarudi tena au ataenda kumuhamasisha wezio waje watembelee mkoa wa Arusha.
Ni aibu kwa uongozi huu, Embu muache tabia za kimaskini, tufike mahali tuangalie maslahi mapana ya Taifa hili.
Mkoa wa Arusha unatakiwa utuzwe sio kwa maslahi ya watu Wa Arusha ila ni Kwa maslahi ya Taifa.
Leo kinachoendelea hapa Arusha ni siasa za kimaskini za kupokonya mkoa huu fursa na kupeleka mikoa mingine kwa hila.
Leo mikutano ya kimataifa ilifanyika hapa miaka mitano iliyopita , hata Bunge la East Africa sidhani kama bdo waendelea kufanyika hapa.
Juzi wanunuzi na wauza mawe wanaambiwa wasionekane tena mjini, eti waande Namanga, kufanyia biashara ni aibu.
Hivi mtu ametoka na Billioni zake Thailand, unamuambia aende Namanga akalale kwa guest kwa usalama upi.
Kinachoamua centre ya biashara sio maamuzi ya kisiasa ni miundo mbinu za kibiasha ni kimaanisha usalama wa wao na huduma muhimu kwao. Sasa Kama tunafikia pahala pa kuwaamurisha watu kama Ngo'mbe pasipo kukaa na wadau wenyewe ukapokea maoni yao,tafsiri yake hiyo mipango yenu ya kisiasa lazima itakwama au mtaharibu biashara ya madini moja kwa moja.