Wanajamii naomba kuuliza ni mkoa gani hapa Tanzania wanalima ngegele kwa wingi na zinalimwa kuanzia mwezi gani. Nataka kulima hili zao kibiashara zaidi.
Wanajamii naomba kuuliza ni mkoa gani hapa tanzania wanalima ngegele kwa wingi.na zinalimwa kuanzia mwezi gani.nataka kulima hili zao kibiashara zaidi.