Mkoa gani unaoongoza kwa Warembo Tz?..

Uliwahi kufika Kilimanjaro mkuu au unaongea tuu wa Dar es salaam.

Dar es salaam Una warembo lakini si kama Kilimanjaro.
Unaposema warembo wengi tafsiri yake ni kuwa uwiano Kati ya wasichana warembo na wabaya. Dar wanawake wabaya ni wengi mno ukilinganisha na wanawake wenye Sura nzuri.

Dar watoto wengi hujichubua, huhangaika na kujipodoa ili waonekane warembo lakini njoo Kilimanjaro au Arusha huku vijijini uone mambo ya Kaskazini.

Kilimanjaro ni Mkoa unaoongoza Kwa watoto wakali kupita mikoa mingine hilo halina ubishi. Ndio maana dada zetu wakija mikoa mingine huko huwanyima soko wanawake wa mikoa husika.

Maeneo ambayo Kilimanjaro kuna watoto wazuri mno bila mkorogo wala vijinguo vifupi;-

1. Marangu
Huku ni watoto wakali wenye maumbo matata. Sura nzuri sana, japo wengi urefu ni saizi ya Kati.

2. Usangi.
Huku ni upareni. Watoto wa huku ni weupe na warefu wenye umbo namba nane.

3. Rombo.
Watoto weupe pee, wenye maumbo ya umiss.

4. Hai
watoto warefu weupe wenye miili mikubwa yaani manefili. Wamachame wapo huku sana na Siha.

5. Mbaga.
Watoto wafupi wenye makalio ya haja. Pia kuna machotara Kwa baadhi ya maeneo. Weupe.

6. Uru.
Watoto wenye mianya na matege ya kike.

Mtu akisema Mkoa ataje na Sifa za kimaumbile kulingana na eneo husika.
Sio unakuta Mkoa unajamii moja ya watoto weupe basi mtu anakurupuka kuja kupost kuwa Mkoa Fulani unawatoto wazuri.

Dar warembo wapo lakini wamezidiwa na wabaya. Hivyo naitoa kwenye michuano.

Wanaojua Kilimanjaro na Arusha wanaweza kuelewa ninachokisema.
Mkoa unamaanisha mpaka vijijini sio mjini tuu
Kilimanjaro na Arusha ni funga kazi, hilo halina mjadala.
 
Back
Top Bottom