Ndugu,kilimo ni sayansi. Kabla ya kuchagua ni Mkoa gani unafaa yakupasa ujue lengo LA KULIMA mazao hayo Ni nini? Wateja wako ni akina Nani? Miundo mbinu ikoje? Gharama za uzalishaji ziko vipi? Mahitaji ya kilimo eg mbegu,mbolea,viuadudu,ardhi,utaalamu nk.