Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 7,998
- 25,150
Serikali inatenganishaje?Hata wakanda ya ziwa huwa hawapendi mikoa mingine zaidi ya mikoa yao sema hii serikali ya ovyo inatutenganisha na kanda ya ziwa yetu.
Serikali inatenganishaje?Hata wakanda ya ziwa huwa hawapendi mikoa mingine zaidi ya mikoa yao sema hii serikali ya ovyo inatutenganisha na kanda ya ziwa yetu.
hapana ukame kwa mkoa wa Dodoma upo wilaya ya chamwino na baadhi ya maeneo ya wilaya ya bahi. Wilaya za Kondoa,Mpwapwa na Kongwa hakuna ukame ndiomana wanaongoza kwa kilimo cha mahindiUkame
Kwanini Kitombile?,Maana jina lenyewe linaonyesha wewe unanukia Unyakyusa.Sitamani mikoa ya nyanda za juu kusini hasa MBEYA na NJOMBE.
Katavi itoe hapo mkuu hawana shida haoNaunga mkono hoja hata nikipewa milion 50 kila siku hasa mikoa ya Iringa, kilimanjaro, katavi, mbeya na njombe.
Safi, kwani vipi 😁Huyu vipi?
Sifa gani hizo utuambie
Akuna kosa pale pako vyedi tu ila kupanga ni kuchagua.
Wanaoponda DSM ni wale wasio na shilling huu mji kuona Radha yake inahtaji uwe na shekeli za kutosha...Hakuna mikoa nitaweza kuishi tofauti na Dar,
Sibanduki huko kwingine ni kutembea tu ila sio kuishi.
Cha kuzingatia ukiwa Iringa Ni kimoja tu.Pamoja na Iringa ni pa ovyo sana.
Asante naomba usikilizweCha kuzingatia ukiwa Iringa Ni kimoja tu.
'Epuka supu za mama ntilie na mishkaki maeneo ya stendi na wakati wa kupokea mwenge'
Waislamu mmenielewa?
Mbeya umefika lini mara ya mwisho ??Iringa,Arusha,Mbeya,Kigoma,Rukwa
Kondoa Na makete ni pazuri kuna first Sana chunguza tenaKuna Mikoa kiukweli Mimi ukiniambia nikaishi ni kama umenipa adhabu kubwa. Mikoa ambayo sitamani kabisa kuishi ni
Dsm-Watu wengi,Kila sehemu Kuna nuka,uswazi, no space na prone kwa Magonjwa kama kipindupindu n.k
mvua kidogo tu inakuwa ni mafuriko,joto na jasho mda wote nk nk.
Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Hii shida kubwa ni zile zile watu wamerundikana kama Dar, umaskini uliotopea na mbaya zaidi Magonjwa ya Kansa ndio kwao.
Mwisho ni Wilaya za Makete, Longido, Simanjiro, Kondoa, Bahi, Ulanga na Mwanga. Hizi Wilaya maisha maisha hatari.