jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,635
- Thread starter
- #21
Nilikua sina ramani nzuri ya tanzania.. Hii hapaSina hela ya mafuta
Nilikua sina ramani nzuri ya tanzania.. Hii hapaSina hela ya mafuta
Dar es Salaam. Niulize kwa nini
Kagera
Amevimbiwa huyo achana naeHa ha ha kilimanjaro ina watu kiasi gan, iko nyuma kuliko lindi na mtwara
KwaniniDar es Salaam. Niulize kwa nini
Kama unaelewa maana ya mitandao ungetembelea website ya National Bureau of Statistics ungepata kila kituMaana ya kua na social media n nn
Acha ubabaishaji ndyo maana ya talk openly au hoja......hapa napata live experiences ya watu tofauti tofauti....we kama unaona watu wakichangia unakereka omba wafute huu uzi....Kama unaelewa maana ya mitandao ungetembelea website ya National Bureau of Statistics ungepata kila kitu
Nalifanyia kazi mkuu TusameheaneSingida unaipenda sana siyo?
Umeirudia kuitaja mara mbili mbili hadi Mkoa kiongozi Dar ukausahau nauliza why why why!