PreGE2025 Mkitaka reforms mkapige kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kuweni waangalifu. Hii ni dormant ID. Ipo tangu 2011. Hii ni ID ya kazi. Wenye D mbili bila shaka mtakuwa mmenielewa. Kuweni waangalifu!

View attachment 3364754
Waache waje..

Na ukiona hivi, maana yake dawa ya sindano za NO REFORMS NO ELECTION zimeingia sawasawa, wanatoka kupima upepo, kutafuta opinion....

Ukiona hivi, ujue ni giza limeingia kwa popo kutoka walikojificha...

Wewe hebu angalia tu hoja zake. Ni purely za ki - CCM...

Hana hata akili za kufikiri vyema...

Kwamba, tuingie kwenye uchaguzi kwa sheria na tume ileile iliyokwisha ku - prove failures halafu utegemee matokeo tofauti..?

Huyu jamaa Dr Adam Francis bila shaka udaktari wake ni wa kupewa tu na si wa kutumia akili darasani...

Ushauri wake huu, laiti ungekuwa ndio enzi za kina Nelson Mandela, basi South Africa mpaka leo ingekuwa bado chini ya wazungu wabaguzi wa rangi...!!

Ushauri wake huu, ungekuwa ndio wa enzi za Julius K. Nyerere na TANU yake, basi Tanganyika mpaka leo ingekuwa chini ya ukoloni wa Mwingereza...!!

Dr Adam Francis sikiliza bwana

Ule woga na utu kidogo wa kuruhusu chaguzi huru, za haki na za wazi kwa kiwango fulani kama ilivyokuwa back in 2015 na kurudi nyuma kwa sasa Tanzania haupo na hauwezekani tena...!!!

And actually the reason is very simple, na ni kwamba, CCM wameshakula nyama za watu na hawawezi kuacha kula asilani kwa maneno laini na ya kubembeleza unless itumike nguvu kuwafanya waache...!!

Kwa hiyo your advice is nonsense and it can't be accepted by free minded people..

Vita imeanza na haitakoma mpaka uhuru wa pili wa Tanganyika upatikane. We understand kwamba, you don't care anymore. Mnaweza kuendelea na kufanya mliyozoea kufanya, kujiweka kuwa viongozi kwa nguvu pasipo ridhaa ya wananchi. Endeleeni, lakini mna muda mfupi sana kufurahia matunda ya udhalimu wenu and THE PAYBACK IS COMING FAST BEFORE YOU...

Waambie CCM wenzakohivi, kama ina wanachama watiifu 13,000,000 kama inavyojidai, kwanini waogope uchaguzi huru, wa haki na wa wazI? Kwani wanaogopa ku - champion electoral system reforms kuanzia ktk katiba hadi kwenye sheria zetu za uchaguzi..?

Ni rahisi tu. Watanzania tunataka hicho, kisha twendeni kwenye uchaguzi kwa pamoja. Ashindae, ashinde kwa haki na ashindwaye, ampongeze aliyeshinda.

Mr Dr Adam Francis ugumu kwenye hili uko wapo? Kwanini mnang'ang'ania kuishi mkiwa mbeba roho ya wizi na dhuluma ndani yenu? Hamuogopi hukumu ya HAKI ya adhabu yenu toka kwa mwenyezi Mungu iliyo mbele yenu..?
 
Reactions: Cyb
No election no reform, kura yangu ni ya thamani kubwa sana nitailinda kwa uwezo wangu wote!
 
Chadema hawana sifa ya kushiriki uchaguzi.Wakiruhusiwa kushiriki uchaguzi nafungua kesi mahakamani
 
No reforms No election, ni wito wa mabadiliko ya uchaguzi au campaign against personality? It looks tunaongelea vitu viwili tofauti?
1. Ni wito wa mabadiliko ya mfumo mzima wa chaguzi zetu zote zinazotupatia viongozi wa kusimamia rasrimali asili zetu kwa maendeleo yetu wananchi na sio "mabadiliko ya uchaguzi" tu kama unavyowaza wewe...

2. You are asking if it's a campaign against personality, right..?

The answer is big YES. Kinachotoka ndani ya moyo wa mtu ndicho kinacho introduce na ku define personality ya mtu huyo. Ulichokiandika hapa kinatoka moyoni mwako, ndiyo personality yako. Tukipinga hoja zako, maana yake na personality (haiba) yako inakuwa destroyed moja kwa moja..!

So, be very carefully with what comes in your mind through your mouth because it can either destroy your reputation (personality) or maintain it..​

#NoReformsNoElection
 
Reactions: Cyb
Kwahiyo WEWE ulienda kusomea UJINGA mpaka level ya PHD?? Sio kwa matapishi haya ambayo walitakiwa wapost akina LUKAS πŸ€”πŸ€”πŸ€£πŸ€£ kweli Kuna safari ndefu ya watu waanaojiita wasomi!! Yaani mtoa Uzi ana very POOR REASONING πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€”πŸ€”
 
Ndio maana CCM inataka kufanya mabadiliko ya katiba, kwasababu sio chama cha kinyonyaji.
Ni kweli ccm wanaweza kufanya mabadiliko ya katiba, je ni mabadiliko yanayotakiwa na wananchi ama ni mabadiliko ya hila ili kusema tumeshaleta katiba mpya?
 
Reactions: Cyb
5. Katiba Mpya ya Muungano
Kwa mara ya kwanza, Ilani ya CCM imeipa kipaumbele kuongoza mchakato wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano ndani ya miaka mitano ijayo, ikilenga kujibu mahitaji ya kisasa kijamii, kiuchumi, na kisiasa
Kwani katiba mpya si ilishaandikwa na CCM tokea 2014 ilisubiri kura ya maoni? Sasa mchakato mpya wa nini tena?

Yaani bunge lenye CCM 100% unatarajia litunge katiba yenye maslahi kwa nchi? Hilo litakua chaka la kupigia pesa tu.
 
Reactions: Cyb
Januari 02, 2015 - Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete alimteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, sasa Rais Samia amemtua kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania

Wanaojiita wanachama wa CCM someni hapa,kama hamtanielewa nitawaelewesha.

No Reforms,No election
 
Uteuzi huu unakutatiza nini?
 
Kwani katiba mpya si ilishaandikwa na CCM tokea 2014 ilisubiri kura ya maoni? Sasa mchakato mpya wa nini tena?

Yaani bunge lenye CCM 100% unatarajia litunge katiba yenye maslahi kwa nchi? Hilo litakua chaka la kupigia pesa tu.
Kutoka katika misaafu rasmi ya CCM, ni sera ipi uliyoiona inahatarisha maslahi ya nchi? Umezungumzia katiba mpya kukwama, Je, wabunge wa CHADEMA kususa kuendelea na majadiliano, hakukuwa na mchango kukwamisha mchakato? Si vyema kukipachika chama sifa ambayo huwezi kuithibitisha.
 
Hatudanganyiki, No Reforms No Election ndiyo mpango mzima.
 

Attachments

  • KURA YAKO.jpg
    46.8 KB · Views: 9
Ni kweli ccm wanaweza kufanya mabadiliko ya katiba, je ni mabadiliko yanayotakiwa na wananchi ama ni mabadiliko ya hila ili kusema tumeshaleta katiba mpya?
Katiba mpya ni muafaka wa kitaifa, sio sera ya chama kimoja cha siasa. Katiba nzuri inatakiwa ijunuishe mawazo ya makundi yote ya wananchi, sio wanasiasa peke yao.
 
Katiba mpya ni muafaka wa kitaifa, sio sera ya chama kimoja cha siasa. Katiba nzuri inatakiwa ijunuishe mawazo ya makundi yote ya wananchi, sio wanasiasa peke yao.
Uko sahihi, tatizo kubwa wananchi wa nchi hii huwa hawana uthubutu wa kuweka wazi madai yao. Wanasiasa ndio wamekuwa wakifanya kazi hiyo. Kwasasa tunaona wanasiasa ndio wenye uthubutu wa kutaka katiba mpya, hayo makundi mengine yako kimya, ila siku mchakato ukianza utashangaa kuona hata ambao hawajawahi kutamka kwa bahati mbaya Katiba mpya, wakiwa mstari wa mbele kuonyesha walivyokuwa wanataka katiba mpya!

Matokeo yake na kuingiza mambo ya kuokoteza na hila za ccm. Ngoja tuone, ikiletwa katiba mpya ya kiccm bado tutaendelea kuidai hiyo katiba mpya.
 
Watz hawahitaji Katiba mpya, wanahitaji huduma nzuri za afya, elimu bora, pesa za kuweka kujikimu kimaisha na kuweza kufurahia na familia zao.
 
Huna haja ya kutukana.....ongea kwa hoja
 
Jibu swali, mchakato wa katiba mpya si ulifikia stage ya kura ya maoni je ulikwama wapi?
 
Kwanza, safari yangu ya shule ilikuwa ni kusoma kutibu maradhi ya binadamu, sio kusoma No reform, No election. Pili itikadi za kisisas siyo kipimo ya akili za watu, kama ukomo wako wa kufikiri umeishia kuwa No reform no election ndio IQ test. Basi unatatizo kubwa la akili linalohitaji ukatibiwe. Mwisho; lugha zisizo na staha zinakudhalilisha, watu waungwana hujibu hoja kwa hoja, kutukana ni kielelezo cha uduni wa fikra.
 
Siku utakapojifunza kutofautisha agenda na personality utakuwa umepevuka kwenye siasa. Siasa sio mapenzi, kwamba unachagu wako na kukubaliana kufa na mapungufu yake. Siasa ni jukwaa la kujadili maswala yahusuyo maisha ya watu wetu. Hoja nzuri inachukuliwa nakutelekezwa bila kujali imetolewa na nani? Dr Slaa ali-campaign kutoa elimu bure akiwa anagombea urais, ingawa mwanzo CCM walisema haiwezekani alipokuja JPM alitekeleza. Hiyo ndio siasa yenye tija.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…