Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji736]
Jr[emoji769]
 
Wachaga na watu wa Kas kazini acheni kuishi Tanznaia ya Miaka 30 iliyopita!

Sasa hivi kila mtanzania ana exposure, amesoma, siyo kama zamani mchaga pekee ndio alikuwa biashara anajua yeye, kazi za maofisini anajua yeye tu!

Sasa hivi kila mtu ni mjanja. Fursa ikijitokeza kila Kabila linaiona na kuifanyia kazi.

Sasa ndugu zangu wa Kas kazini bado mna akili za miaka ya nyuma hamtaki kukubali ukweli kwamba fursa mlizokuwa mnazi fanya ninyi siku hizi kila mtanzania anamudu kuzifanya! Ndio maana mnaona kama mnaonewa na utawala huu maana kila mnapoenda mnakuta watu wameshawahi[emoji23][emoji23][emoji23]

Kubalini kwamba watanzania wa kila Kabila wanasoma na wamejanjaruka siku hizi.

Hakuna kinachodumu milele. Poleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana mnaona kama mnaonewa na utawala huu maana kila mnapoenda mnakuta watu wameshawahi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mahali nimetaja uonevu? Kuna mahali nimetaja kabila lolote? Anyway ni mjadala hivyo una mengi ndani yake
Jr[emoji769]
 
Sawa but huko chato imekuwa too much asee ,msoga cyo saana alafu kikwete hakukandamiza maeneo mengine kwa kiburi na kujiskia Kama huyu meko ,jamaa namfananisha kwa mbaali na mobutu sese seko kuku ngwendu wazabanga ,,kwa mambo yake anayoyafanya
But hapa ni heri aliyenacho aingezewe tu yaani kwa kuwa Kanda ya kaskazini tulishaejielewa mapema na mind u that hatuna kibur ,next time urais utoke kaskazi Sasa ,,,[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji123][emoji123][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nasikitika saana kuona baadhi
ya watanzania kujiona wajanja kuliko wengine wakati wamekalia kuti kavu..nadhani ni kiburi cha mamlaka au kuvimbiwa tu ..Maendeleo ya Tz ni historical..kwa German kushindwa vita..maendeleo lazima yawe hivi yalivvyo..kwani tumezungukwa na maadui wasio tayari kufanya biashara nasi..hata kwa hali ya kawaida hatupo vizuri na majirani zetu..sehemu pekee yenye nafuu kimasilahi kwa Tanzania ni Kenya yenye connection NATO na UsD..naam uwekezaji wa kikolon ulilenga British East Afrika yenye himaya Nairobi..kwa upepo huu wa hulka zetu za kikabila itachukua muda mrefu mikoa mingine kuipita Kaskazini kiuchumi..labda kwa maamuzi sahihi ya viongozi wetu lakini kwa mawazo ya AU,SADC na EAC tunapoteza muda tu na hatutoweza toka kamwe..Kuna mzingira ya aina tatu yanaweza kubadili Uchumi wa Tanzania.
1.Tuungane na Burundi,DRC na ANGOLA..Burundi ni njia kufika kwa hao tunaofanana kimaliasili.
2.BRICS isimame kama West block..tutapata mbadala wa access ya mafuta..naam bidhaa na technology.
3.Uhusino na nchi za Asia iwe kipaumbele.
Kwa hali hiyo mambo yatakuwa shwari Tanzania..kwa sasa kaskazini wanaconnection asili. Wengine tulie tu.
 
Ndio maana mnaona kama mnaonewa na utawala huu maana kila mnapoenda mnakuta watu wameshawahi[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mahali nimetaja uonevu? Kuna mahali nimetaja kabila lolote? Anyway ni mjadala hivyo una mengi ndani yake

Jr[emoji769]
Mshana bhana! Kwahiyo hii hoja yako point yake ni ipi sasa? Wakati umesema katika sehemu zote zilizopendelewa kiuchumi bado watu wa Kas kazini wameshika nafasi za juu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ndo nilileta tetemeko? Ndo majibu waliyopewa watu wa kagera walipopatwa na majanga.

Kagera kila mtu anapambana na Hali yake ukilima kahawa ukapata upenyo Uganda ndo umetajirika hivyo.

Ukiangalia mkoa wa kagera maendeleo ya watu binafsi yako juu kuliko general maana ya miundombinu ambayo ni KAZI ya serikali.


Nyumba ni nzr vijijin lakin barabara za vijijin serikali haitaki kujenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani dhana hizo hazipo tena kwasababu kupata taarifa ni rahisi na watu wameingiliana sana ..hapo ni jamii husika kutumia mitaji ili kukua basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…