CHIPESI NAMISUKU
Member
- Oct 7, 2019
- 51
- 156
Well, kwa mara nyingine nimemsoma Mwanasiasa nguli wa Haki za CHADEMA ktk kivuli cha "Monrovian Uamsho" aliyekabidhi kikoba cha "injili" na "Theolojia" kwa Mbowe na kukumbatia "Unyumbu"....Huyu ni Kamanda Mwamakula, yeye anajaribu kulalamikia kufutiwa leseni kwa Gazeti la Tanzania Daima huku jicho lake Mwanasiasa huyu wa kwenye Madhababu likitua rasmi kwenye "Hukumu pekee" na sio "Maonyo" na "kukiri na kurudia Makosa mara kadhaa kwa chombo husika"
Hapa chini kutoka Maktaba,Pichani ni Barua mbili toka kwa Uongozi wa Gazeti la Tanzania Daima lenyewe kwa nyakati tofauti likiomba Radhi kwa kuchapisha Taarifa za Uongo ambazo zingine zililenga kuleta Taharuki ktk jamii....na ikumbukwe kupitia Barua hizi walisamehewa...walisamehewa na chombo kile kile kinachoitwa "Katili" mara baada ya leo hii kuamua kusimamia Sheria na kuchukua Hatua.
#Moja ya Nukuu ktk Barua hizo: "Tunaahidi kuzidisha umakini na kuepuka kurudia Makosa katika Taarifa zetu"
#Note: Ukisoma Barua ya Kufutiwa Leseni Gazeti la Tanzania daima imeelezwa wazi kuwa Gazeti hili limesamehewa na kuonywa kwa zaidi ya Mara 10 achilia mbali kuomba radhi kwa mara mbili pekee.
Barua hizi za kukiri Makosa na kuomba Msamaha ni ushahidi tosha, ni Mwanasiasa yupi wa juu ya Madhabahu, mweye kiremba cha urefu wa size ipi aliyewahi kuwaonya au kuwapa muongozo Free Media kwa namna ilivyo dhambi au kinyume cha sheria kupotosha na kuandika Uongo?..Ndio Kamanda Mwamakula?
Sasa kama Uongozi wa gazeti umewahi kukiri hadharani kuchapa taarifa za uongo kinyume na miiko ya uandishi na kinyume cha miongozo na sheria inayosimamia leseni yao, je wakirudia makosa mara kwa mara waachwe kwa kuwa tu Gazeti hilo linamilikiwa na kiongozi wa chama cha Chadema na itaonekana imeonewa?
kwamba Chombo hiki kesho kikiandika Taarifa kwamba Askofu Mwamakula anatumika na Taasisi fulani ya Marekani kujaribu kueneza Ushoga kanisani badala ya injili halafu Mwamakula mwenyewe akaenda kukishtaki Mahakamani chombo hicho cha habari kwa kuandika uongo na kikashindwa kuthibitisha Uhalali na ukweli wa Taarifa hiyo.Hapa serikali ikichukua hatua dhidi ya chombo husika inakuwa imeonea na kuminya uhuru wa Habari?
Mwamakula anasahau kuwa Wafuasi wenzake wa CHADEMA wamewahi kuchoma Nakala za Gazeti la kamanda mwenzao kubenea "Mwanahalisi" Wakidai kuwa linaandika taarifa za uongo mara baada ya moja ya Chapisho kusomeka "Ben saa nane aonekana kwenye vijiwe vya Kahawa"..imeisha hiyo, Panic at Ur own Risk.
Hapa chini kutoka Maktaba,Pichani ni Barua mbili toka kwa Uongozi wa Gazeti la Tanzania Daima lenyewe kwa nyakati tofauti likiomba Radhi kwa kuchapisha Taarifa za Uongo ambazo zingine zililenga kuleta Taharuki ktk jamii....na ikumbukwe kupitia Barua hizi walisamehewa...walisamehewa na chombo kile kile kinachoitwa "Katili" mara baada ya leo hii kuamua kusimamia Sheria na kuchukua Hatua.
#Moja ya Nukuu ktk Barua hizo: "Tunaahidi kuzidisha umakini na kuepuka kurudia Makosa katika Taarifa zetu"
#Note: Ukisoma Barua ya Kufutiwa Leseni Gazeti la Tanzania daima imeelezwa wazi kuwa Gazeti hili limesamehewa na kuonywa kwa zaidi ya Mara 10 achilia mbali kuomba radhi kwa mara mbili pekee.
Barua hizi za kukiri Makosa na kuomba Msamaha ni ushahidi tosha, ni Mwanasiasa yupi wa juu ya Madhabahu, mweye kiremba cha urefu wa size ipi aliyewahi kuwaonya au kuwapa muongozo Free Media kwa namna ilivyo dhambi au kinyume cha sheria kupotosha na kuandika Uongo?..Ndio Kamanda Mwamakula?
Sasa kama Uongozi wa gazeti umewahi kukiri hadharani kuchapa taarifa za uongo kinyume na miiko ya uandishi na kinyume cha miongozo na sheria inayosimamia leseni yao, je wakirudia makosa mara kwa mara waachwe kwa kuwa tu Gazeti hilo linamilikiwa na kiongozi wa chama cha Chadema na itaonekana imeonewa?
kwamba Chombo hiki kesho kikiandika Taarifa kwamba Askofu Mwamakula anatumika na Taasisi fulani ya Marekani kujaribu kueneza Ushoga kanisani badala ya injili halafu Mwamakula mwenyewe akaenda kukishtaki Mahakamani chombo hicho cha habari kwa kuandika uongo na kikashindwa kuthibitisha Uhalali na ukweli wa Taarifa hiyo.Hapa serikali ikichukua hatua dhidi ya chombo husika inakuwa imeonea na kuminya uhuru wa Habari?
Mwamakula anasahau kuwa Wafuasi wenzake wa CHADEMA wamewahi kuchoma Nakala za Gazeti la kamanda mwenzao kubenea "Mwanahalisi" Wakidai kuwa linaandika taarifa za uongo mara baada ya moja ya Chapisho kusomeka "Ben saa nane aonekana kwenye vijiwe vya Kahawa"..imeisha hiyo, Panic at Ur own Risk.