Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,535
Naangalia kipindi cha mada moto channel ten hapa, wageni ni Renatus Mkinga na Rais wa chama cha Mawakala wa Forodha nchini Steven Ngatunga.
Mkinga ametonya kwamba, siku ambayo Mkapa alikwenda Ikulu kumtembelea Magufuli amepata taarifa kwamba Mkapa alimtisha Magufuli kwamba asiirudishe NASACO kuchukua nafasi ya Mawakala wa forodha eti Makampuni ya meli yataacha kufanya biashara na Tanzania.
Hili ni DOA kubwa sana kama ni kweli.
Mkinga ametonya kwamba, siku ambayo Mkapa alikwenda Ikulu kumtembelea Magufuli amepata taarifa kwamba Mkapa alimtisha Magufuli kwamba asiirudishe NASACO kuchukua nafasi ya Mawakala wa forodha eti Makampuni ya meli yataacha kufanya biashara na Tanzania.
Hili ni DOA kubwa sana kama ni kweli.