Mkimaliza watumishi hewa, tuondoleeni na hili

Kuna watu wana ongoza kwa kufoji vyeti, sikuhizi wanatumia majina mawili, la ukoo hawatumii. Mfano Janeth Mathias (la tatu la kutoka kilimanjaro linafichwa).chunguza majina ya wenyeji hawa ni mawili tu ya kizungu
 
Kuna watu wana ongoza kwa kufoji vyeti, sikuhizi wanatumia majina mawili, la ukoo hawatumii. Mfano Janeth Mathias (la tatu la kutoka kilimanjaro linafichwa).chunguza majina ya wenyeji hawa ni mawili tu ya kizungu
Jikite kwenye point mkuu,kuto kutumia jina la ukoo ni maamuz binafsi.kinachozungumzwa ni vyet feki ama majina yaliyofojiwa
 
Waheshimiwa mmalizapo kuwapunguza hao watumishi hewa, mimi nashauri pia mfuatilie na wale wote wanaotumia vyeti vya taaluma vya marehemu na kujipatia ajira, pamoja na vyeti vya diploma, degree na masters vya bandia na huku wakijuwa elimu hiyo hawakuipata kwa kukaa darasani.


Ni kweli kabisa, na Tanzania hawa wapo wengi mno. Kingine, naomba muwapitie wale wanaosoma mtandaoni katika vyuo visivyokubalika duniani na kujipatia masters au Phd katika fani zao, hawa pia tunao wengi mno. Mfano Kikwete anajiita Dr. kivipi, wakati sote tunajuwa kabisa huyu jamaa hajuwi chochote, alisomea chuo gani?
 
Ni kweli kabisa, na Tanzania hawa wapo wengi mno. Kingine, naomba muwapitie wale wanaosoma mtandaoni katika vyuo visivyokubalika duniani na kujipatia masters au Phd katika fani zao, hawa pia tunao wengi mno. Mfano Kikwete anajiita Dr. kivipi, wakati sote tunajuwa kabisa huyu jamaa hajuwi chochote, alisomea chuo gani?
University of Dar-es-Salam
 
Kwanza kila mtu apate kitambulisho cha taifa. Mambo yote mengine yaunganishwe na namba ya kitambulisho. Ajira, vyeti vya shule nk. Wengi wataumbuka.
Kuna watu wana vyeti lakini matokeo "yameboreshwa" Nchi ina majipu mengi sana.
 
Waheshimiwa mmalizapo kuwapunguza hao watumishi hewa, mimi nashauri pia mfuatilie na wale wote wanaotumia vyeti vya taaluma vya marehemu na kujipatia ajira, pamoja na vyeti vya diploma, degree na masters vya bandia na huku wakijuwa elimu hiyo hawakuipata kwa kukaa darasani.
Hatukamatwii ng'oo, huko JPM hafikilii kukagua.
Ila jamani kwnn tuombeane njaa?, sote n watoto wa Bb mmoja.
 
Waheshimiwa mmalizapo kuwapunguza hao watumishi hewa, mimi nashauri pia mfuatilie na wale wote wanaotumia vyeti vya taaluma vya marehemu na kujipatia ajira, pamoja na vyeti vya diploma, degree na masters vya bandia na huku wakijuwa elimu hiyo hawakuipata kwa kukaa darasani.
Majeshini walimu manes hao ndo vinara vyeti feki
 
Back
Top Bottom