Mkifika DAR muwe mnauliza

Mkifika DAR muwe mnauliza

Atakuwa ndio wale wale wa kishumundu......
Wanaoanza kuvaa viatu kabla ya soksi.....
 
Mwanakwaya huyoooo, wamekuja kufanya shootings,ametoka location na uniform
 
Labda baadhi ya Matairi hayazunguki.

Lakini hapo yuko kwenye kuchagua, alikuwa na uwezo wa kushusha
 
Back
Top Bottom