I can always change her mood no matter the situation...ananiita Dr feel good..
Dah it's time to get one 🙁
Just like the old days
Mi nilimfungulia e mail alikuwa hajui kitu, kuanzia hapo ananionaga mkali wa IT hadi kesho,kumbe kanjanja tu
Mimi mke wangu anajivunia heshima ninayompa kwani sijawahi kuacha kumheshim na hilo imekua msingi wa upendo wa kweli ndani ya nyumba, lakini pia anajivunia kwa kua na mume mwenye mtazamo na upeo wa mambo mbalimbali ya maendeleo na maisha kwa ujumla always she smiles lol mke raha bana asikueleze mtu
mimi wife anasema mbegu yangu balaa kwani amepata watoto wazuriii
Mi nilimfungulia e mail alikuwa hajui kitu, kuanzia hapo ananionaga mkali wa IT hadi kesho,kumbe kanjanja tu
Mi nilimfungulia e mail alikuwa hajui kitu, kuanzia hapo ananionaga mkali wa IT hadi kesho,kumbe kanjanja tu
mimi wife anasema mbegu yangu balaa kwani amepata watoto wazuriii
Mmmh swali wameulizwa wanawake ,wanaume sasa!! Khaaa ! Kututamanisha tu!! Mmmxxxyuuu! Ha ha ha!! (Wenye wivu utawajua tu)!!