MartinDavid
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 874
- 144
Haya tuwe wanyama sasa... I love this...
e h===Asante kwa somo lako ila kwa upande wangu mimi naona body language inajitosheleza kabisa,mkeo akiwa na hamu utaona matendo yake tu,mara akuguse,mara apige story za hayo mambo,mara pumzi imbadilike nk.Nikianza kautaratibu ka kunusana hata nisiposikia harufu nitaishia kutwanga tu.
Agreedsio jukwaa muafaka
lane:lane:lane::lying:
yeah nadhani alipaswa kuipelekwa kwa wakubwa manake hapa kuna watoto!sio jukwaa muafaka