Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
NANI KAKWAMBIA KILA WAKATI MWANAMKE ANA HAMU YA KUFANYA MAPENZI? Binadamu tuseme ukweli... TUMEPOTEZA UWEZO WA KUTAMBUA HAMU NA HALI YA MVUTO WA MAPENZI na inapotokea tunavutiwa inakuwa shida ajali za kufanya mapenzi na secretary housegirl hazipungui bila kujua ni nini kinaendelea....
Maana wanawake hutoa harufu fulani ambayo humuwezesha mwanaume kujua msichana/mwanamke huyu yuko hot na anahitaji kitu... nadhani inasababaisha hata wakati mwingine tusisikie uroda tunaotaka.... UKIMUOTEA MWANAMKE AMBAYE YUKO HOT! Pata picha science ya wanyama... hawagusani mpaka asikie harufu fulani inayomruhusu... mama akiwa mjamzito haguswi... ananyonyesha haguswi... hajisikiii haguswi... ila akiwa na hamu tu ana kazi maana midume yoooote inataka kuweka mambo sawa.... Hebu tujaribu kutafakari hiii tukiirekebisha haitaokoa ndoa zetu kweli? Unagundua mama yuko hot na mama hakusumbui anapokuwa hayuko hot... maana wamama wengine wanataka tu ugonge hata kama hawana hamu kisa wanahofia usije ukaenda nje matokeo unakula cha baridi hakijapashwa moto inakuwaje hapo
Amini usiamini hakuna viuno wala mabega au staili gani sijui wanavyosema wenyewe... saizi au pumzi... muhimu ni hisia tu, inaweza kuwa sekunde na inaweza kuwa masaa na ikawa fantastiki....
Ila tusisahau heat ya mwanamke hubadilika kutokana na mauzi au adha au furaha hivyo lazima turuhusu natural scent and isntinct to function ili ukikamua unapata mazimum satisfaction....
Usilazimishie utaharibu maana isipokuwa satisfactory inaweza kukaa kichwani muda mrefu ambayo sio muzuri ndo unakuta wengine wanaanza kuvutia hisia mbali za fulani alivyomfurahisha ndo apate bao haipendezi
Maana wanawake hutoa harufu fulani ambayo humuwezesha mwanaume kujua msichana/mwanamke huyu yuko hot na anahitaji kitu... nadhani inasababaisha hata wakati mwingine tusisikie uroda tunaotaka.... UKIMUOTEA MWANAMKE AMBAYE YUKO HOT! Pata picha science ya wanyama... hawagusani mpaka asikie harufu fulani inayomruhusu... mama akiwa mjamzito haguswi... ananyonyesha haguswi... hajisikiii haguswi... ila akiwa na hamu tu ana kazi maana midume yoooote inataka kuweka mambo sawa.... Hebu tujaribu kutafakari hiii tukiirekebisha haitaokoa ndoa zetu kweli? Unagundua mama yuko hot na mama hakusumbui anapokuwa hayuko hot... maana wamama wengine wanataka tu ugonge hata kama hawana hamu kisa wanahofia usije ukaenda nje matokeo unakula cha baridi hakijapashwa moto inakuwaje hapo
Amini usiamini hakuna viuno wala mabega au staili gani sijui wanavyosema wenyewe... saizi au pumzi... muhimu ni hisia tu, inaweza kuwa sekunde na inaweza kuwa masaa na ikawa fantastiki....
Ila tusisahau heat ya mwanamke hubadilika kutokana na mauzi au adha au furaha hivyo lazima turuhusu natural scent and isntinct to function ili ukikamua unapata mazimum satisfaction....
Usilazimishie utaharibu maana isipokuwa satisfactory inaweza kukaa kichwani muda mrefu ambayo sio muzuri ndo unakuta wengine wanaanza kuvutia hisia mbali za fulani alivyomfurahisha ndo apate bao haipendezi