GE2025 Mkeka: Uteuzi wa wanachama wa CCM watakaogombea nafasi za Ubunge na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Majimbo na Viti Maalum

GE2025 Mkeka: Uteuzi wa wanachama wa CCM watakaogombea nafasi za Ubunge na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Majimbo na Viti Maalum

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Hata kumtenga mzee wa Musoga kipindi cha msiba,yawezekana ni moja ya vitu vilivyochangia
kama wanasema remote ipo msoga -- basi bila shaka upo sahihi
 
tunasikilizia response kutoka kwa slowslow
 
Baba Levo anaweza akaambiwa akubali matokeo tu kule Kigoma,amuachie ZZK kulingana na makubaliano yatakayofikwa muda wa kugawana majimbo ili kuleta mseto ndani ya bunge.
Zitto hapati kitu,CCM wameshamgeuka
 
Back
Top Bottom