Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

hivi inawezekana kweli wewe ? nafikiria unaweza ukawa unamssaliti...
 
Brilliant
 
Jamani tuwe wa wazi kwa hili! Ndoa ni mtihani mwingine. Tusidanganyane. Ukweli ni hivi swala la fedha ndani YA ndoa ni tatizo sugu. Misuguano huwa inaanza pale unapomshirikisha mke/mume kwenye maswala ya kusaidia familia yako ulikozaliwa. Hili hili la mwili mmoja hili watu wanaliangalia kwa wepesi sio kitu rahisi. Dini ndio zilituletea utaratibu huu ili kuilinda heshima ya mwanadamu tusifanane navwanyama. Mwili mmoja ni kanuni mojawapo lakini haitekelezeki kwa kila jambo. Wanandoa sio malaika ni binadamu wenye hisia ndio maana kuna ndoa za mikataba.
 
A suspicious spouse must not get angry to a suspected spouse after finding anything unusual after spying/snooping both must be able to reconcile on any bad outcome> Ndoa iendelee.
 
Usemalo ndilo sahihii lakini kwa miaka ya 1800 dunia ya leo kuna baadhi sio mambo ya wote,Nasikitika kukwambia ndoa ya hayo unayodhungumza huwa haidumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…