yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,778
- 1,223
Habari zenu wana MMU, Miaka takriban miwili na nusu iliyopita nilibahaatika kuwa na mahusiano na binti mmoja mwenyeji wa malawi ambaye baada ya kama miezi 6 ya uchumba tulifunga ndoa.
Kutokana na wazazi wa yule binti kuishi nje ya nchi (malawi) niliwaomba wazazi walezi tumalize kwanza michakato ya then ndo tupange utaratibu wa kwenda kuwaona wazazi husika kwa maana ya kujitambulisha nashukuru walikubali bila kinyongo.
Baada ya kuishi zaidi ya mwaka mmoja na nusu bila mke wangu kutokuwa na dalili zote za ujauzito ilibidi nishtuke na hatua ya kwanza niliyochukua ni kwenda kwa wataalam kwa ajili ya kunifanyia uchunguzi na matokeo yake waliambia sina tatizo lolote kwa upande wa mwenza wangu
niliporudi nyumbani nilimweleza oyte mke wangu na kumuuliza kulikoni miaka inaenda bila dalili zozote za ujauzito alichoniambia hata yeye yuko safi ila inawezekana ni wakati kwahiyo nivute subira kwani mambo mazuri hayataki harakakutokana na jibu hilo nikahisi kuna kitu si hivi hivi nikaomba ruhusa ya siku kumi na nne kazini kwa ajiri ya safari kwenda huko kwao malawi (mzuzu) kwa ajili ya mibaraka na kuonana nao ana kwa ana
Baada ya safari iliyochukua takriban masaa 18 hatimaye tulifika salama na kupokelewa kwa shangwe na vigelege vya kutosha
siku mbili baadae mama-mkwe alinichukua na kwenda kunitembeza nikaone mji na kweli kale kamji ni kadogo lakini kamepangiliawa vizuri sana na kwa sababu tulikuwa na usafiri wetu binafsi tuli-enjioy sana
tukiwa katika maongezi ya hapa na pale nilimtania mama-mkwe japo wajukuu wanasumbua katika maombi yake asilisahau na hilo kwani linampa tabu sana
Lah haula hamadi ndipo yule mama alipoanza kufunguka juu ya yule binti yake kwamba kama hakuwa na taarifa basi
hiyo ndio rasmi ni hivi binti yake kipindi anasoma alipewa mimba na mwanafunzi mwenzake na ile mimba ilimsumbua sana mpaka kupelekea kufanyiwa operesheni na bahati mbaya mtoto alikufa hivyo aliwekewa vijiti na madaktari walimshauri akae zaidi ya miaka mitatu ndo anaweza kubeba mimba
kutokana na taarifa ile ilibidi kesho yake nianze safari ya kurudi bongo huku nikimuahidi aendelee kukaa kwa mwezi mmoja zaidi ili nijipe muda wa nini cha kufanya
Wana JF tumezoea kuzibwa kwa mirija ya uzazi ili mwanamke asizae hivi inawezekana kweli mwanamke akawekewa vijiti sehemu za ukeni na asizae na wala mwanaume usijue?
na kama kweli ni kisayansi au kimitishamba mbali na hilo niegundua kuwa waifu wangu ni material wife hilo pekee yake linaweza sababisha nimuache?
kwanini amenisubilisha badala ya kuniambia ukweli?
hivo vijiti havina side effect kwenye mwili?
wakwe zangu wamekuwa wawazi na kuonyesha ushiriano mkubwa sana kwangu nafikili mila na desturi zinachangia ingekuwa hapa naona wangechuna tu hii inakuwaje?
natanguliza shukrani mawazo yanayojenga ahsanteni na tufunge mwaka kwa salama ni mi wenu KIFIMBOPLAYER
Kutokana na wazazi wa yule binti kuishi nje ya nchi (malawi) niliwaomba wazazi walezi tumalize kwanza michakato ya then ndo tupange utaratibu wa kwenda kuwaona wazazi husika kwa maana ya kujitambulisha nashukuru walikubali bila kinyongo.
Baada ya kuishi zaidi ya mwaka mmoja na nusu bila mke wangu kutokuwa na dalili zote za ujauzito ilibidi nishtuke na hatua ya kwanza niliyochukua ni kwenda kwa wataalam kwa ajili ya kunifanyia uchunguzi na matokeo yake waliambia sina tatizo lolote kwa upande wa mwenza wangu
niliporudi nyumbani nilimweleza oyte mke wangu na kumuuliza kulikoni miaka inaenda bila dalili zozote za ujauzito alichoniambia hata yeye yuko safi ila inawezekana ni wakati kwahiyo nivute subira kwani mambo mazuri hayataki harakakutokana na jibu hilo nikahisi kuna kitu si hivi hivi nikaomba ruhusa ya siku kumi na nne kazini kwa ajiri ya safari kwenda huko kwao malawi (mzuzu) kwa ajili ya mibaraka na kuonana nao ana kwa ana
Baada ya safari iliyochukua takriban masaa 18 hatimaye tulifika salama na kupokelewa kwa shangwe na vigelege vya kutosha
siku mbili baadae mama-mkwe alinichukua na kwenda kunitembeza nikaone mji na kweli kale kamji ni kadogo lakini kamepangiliawa vizuri sana na kwa sababu tulikuwa na usafiri wetu binafsi tuli-enjioy sana
tukiwa katika maongezi ya hapa na pale nilimtania mama-mkwe japo wajukuu wanasumbua katika maombi yake asilisahau na hilo kwani linampa tabu sana
Lah haula hamadi ndipo yule mama alipoanza kufunguka juu ya yule binti yake kwamba kama hakuwa na taarifa basi
hiyo ndio rasmi ni hivi binti yake kipindi anasoma alipewa mimba na mwanafunzi mwenzake na ile mimba ilimsumbua sana mpaka kupelekea kufanyiwa operesheni na bahati mbaya mtoto alikufa hivyo aliwekewa vijiti na madaktari walimshauri akae zaidi ya miaka mitatu ndo anaweza kubeba mimba
kutokana na taarifa ile ilibidi kesho yake nianze safari ya kurudi bongo huku nikimuahidi aendelee kukaa kwa mwezi mmoja zaidi ili nijipe muda wa nini cha kufanya
Wana JF tumezoea kuzibwa kwa mirija ya uzazi ili mwanamke asizae hivi inawezekana kweli mwanamke akawekewa vijiti sehemu za ukeni na asizae na wala mwanaume usijue?
na kama kweli ni kisayansi au kimitishamba mbali na hilo niegundua kuwa waifu wangu ni material wife hilo pekee yake linaweza sababisha nimuache?
kwanini amenisubilisha badala ya kuniambia ukweli?
hivo vijiti havina side effect kwenye mwili?
wakwe zangu wamekuwa wawazi na kuonyesha ushiriano mkubwa sana kwangu nafikili mila na desturi zinachangia ingekuwa hapa naona wangechuna tu hii inakuwaje?
natanguliza shukrani mawazo yanayojenga ahsanteni na tufunge mwaka kwa salama ni mi wenu KIFIMBOPLAYER