Watu mnafukua makaburi dahAkisema anaenda mwambie aende moja kwa moja akakae kwa mama.....
Baba love huyo ndo alikua anakuambia una kibamia?
Njia za kuongeza uume
Kama hakumkuta na bikra, basi anamfuata aliyemtoa.Kwao kutakuwa na bwana wake.Sio bure
usimdhanie dhana hizo!!!Kwao kutakuwa na bwana wake.Sio bure
Ndio mawazo yangu...kinachomrudisha kwa mamake ni utamu anaoukosa.usimdhanie dhana hizo!!!
Kwani umepotelea wapi wewe???Ana Umri gani ?
Oooh come on!! hapo ...Ndio mawazo yangu...kinachomrudisha kwa mamake ni utamu anaoukosa.
Utamu!...Oooh come on!! hapo ...
Nipo nazurura huku kutafuta hata msuto sioni, hata ugomvi niingilie sioni!!Kwani umepotelea wapi wewe???
Lakini uamuzi wa mume haukujali ladha !!!Utamu!...
Tena na mvua hizi atarudi kwao kila week.
hivi hujui nakumiss??Nipo nazurura huku kutafuta hata msuto sioni, hata ugomvi niingilie sioni!!
Jf imepooza kama mkojo wa ngedere bhanaaaa
Nakumiss pia Sana but nitafanyaje thatha. Uniite kwenye shughuli zile za madera mommyhivi hujui nakumiss??
we nawe hebu kwenda huko mi nakumiss kila siku sikuoni hata unyayo,we unapita kimya kimya. Hamna hata shughuli za madera na vijora now days buanaNakumiss pia Sana but nitafanyaje thatha. Uniite kwenye shughuli zile za madera mommy
Bandidu at work.C uende kwa mama yako na wewe
Hahahha nitakuwa napita nikiacha alama dear.we nawe hebu kwenda huko mi nakumiss kila siku sikuoni hata unyayo,we unapita kimya kimya. Hamna hata shughuli za madera na vijora now days buana