HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,486
- 6,248
Mwangalie kwa jicho la tatu mkuu kunajambo hapo. Huenda akawa anaenda kupiga mechi uwanja wa ugenini.
Huyo haendi kwa mama, unajisifia mwenyewe unampa dozi kumbe huna lolote. Anataka kuipeleka kwa basha wake anaona wewe unacheza tu...Wakuu naombeni mtazamo wenu kwa hili swala ati inakuaje una oa mutoto wakike (matured enough) mnakaa nae hata mwezi hauishi anaanza kusema anataka kwenda kwa mama yake.. Yani unakuta upo na mkeo dozi kali unampa mkiwa faragha bt fahamu zikimrudi tuu yeye anamtaka mama, sasa hii kitu mimi sielewi itakua bado ana kabehaviour ka utotoni au ni ulimbukeni na kujiendekeza tuu
Inafikia mahali na mpa kalikizo ka miezi kazaa akakae kwa mama yake hadi achoke akikaa siku mbili tuu ati kanimiss anang'ang'ania kurudi nyumbani akirudi muda tuu bado anazingua hivyo hivyo... Naombeni msaada plz.....
Akisema anaenda mwambie aende moja kwa moja akakae kwa mama.....
Baba love huyo ndo alikua anakuambia una kibamia?
Njia za kuongeza uume
Usikute huko kwa mama anafata rungu la kipepeHujakosea kabisa "" "" "" ananipasua kichwa kweli
Jina lako tu mm nasema plomoHuenda anampenda 'mama' kuliko wewe.
cha uchokozi katika ubora wako,, unafukua Sana makaburi mkuuAkisema anaenda mwambie aende moja kwa moja akakae kwa mama.....
Baba love huyo ndo alikua anakuambia una kibamia?
Njia za kuongeza uume
Kwao kutakuwa na bwana wake.Sio bure
Wakuu naombeni mtazamo wenu kwa hili swala ati inakuaje una oa mutoto wakike (matured enough) mnakaa nae hata mwezi hauishi anaanza kusema anataka kwenda kwa mama yake.. Yani unakuta upo na mkeo dozi kali unampa mkiwa faragha bt fahamu zikimrudi tuu yeye anamtaka mama, sasa hii kitu mimi sielewi itakua bado ana kabehaviour ka utotoni au ni ulimbukeni na kujiendekeza tuu
Inafikia mahali na mpa kalikizo ka miezi kazaa akakae kwa mama yake hadi achoke akikaa siku mbili tuu ati kanimiss anang'ang'ania kurudi nyumbani akirudi muda tuu bado anazingua hivyo hivyo... Naombeni msaada plz.....