Mke wangu nimemtimua leo

Wew jamaa kumbe hua hunaga point namna hii
Unasema kaja hapa kulia lia kwan kakuomba ushauri nn cha kufanya
Mwanaume kakuletea maamuz aliyokwisha yafanya tayari Wapi alipo lia lia
 
Sasa kama kagongewa amvumilie wa nini
 
Ona kakazika sasa kamfukuza
 
Mkuu kuna mambo mengine mama yako anakufariji vp?emvu acha mambo ya ajabu
Toba....[emoji87] [emoji87] [emoji87]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wew jamaa kumbe hua hunaga point namna hii
Unasema kaja hapa kulia lia kwan kakuomba ushauri nn cha kufanya
Mwanaume kakuletea maamuz aliyokwisha yafanya tayari Wapi alipo lia lia


Mambo ya kuleta mambo ya ndani ya nyumba public ni mambo ya kike, Wanawake ndiyo kutwa nzima huongelea mambo ya ndani, maofisini kutwa nzima hata hawafanyi kushinda kuhadithiana kuhusu waume zao, Wanaume hawako hivyo, na hiyo ndiyo sifa ya kiunaume ijulikanayo Dunia nzima, kwamba ni watu kutatua matatizo!
Sasa kama ulishachukuwa uamuzi haukupaswa kuja hapa kulialia ulipaswa kuendela na maisha yako, huo ndiyo Uanaume, na kama ukitaka Mwanamke akuheshimu basi onyesha Uanaume, vinginevyo utabadilisha Wanawake kila siku mpaka ukate tamaa na kuhamia kwa Wanaume sasa!
 
Mkuu Kama yupo hapa Dar naomba Tafadhari nipatie namba yake!!
 
Una akili sana kwa uamuzi uliouchukua. Nachukia sana mtu anaepiga mwanamke, kuua mwanamke kwa sababu ya wivu na anaejinyonga kwa sababu ya kusalitiwa. Bora umuache mwanamke kwa amani maana utapata mwingine kama sio milioni moja wengine na yeye hivyo hivyo.
Hayo ndiyo maamuzi ya kiume. Nakuunga mkono. Endelea mbele,usiangalie nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…