Mke wangu ni HIV Positive

AIDS took my uncles life it was early 1990s ,I was devastated,nilikuwa high school .wakati huo AIDS unasikia tuu but that was home my uncle ambae always nilikuwa nasema if anything happens to my mom he will be there to take care of me.He was humble,giving and lovely yaani mama angu alikuwa Analia anakaa Kwenye bathtub anamiomba mungu usiwe AIDS well it was AIDS claiming nu uncles life .Alianza kuumwa kichwa,kichwa yaani mama angu akasikia kunadawa China akampeleka Huko wapi ,alikaa Huko kwa Muda wa Miezi 3 .siku anarudi kwa kweli sikwenda Aiport my mom driver na uncle zangu 9 ( I was blessed with a lot of uncles ) basi nipo nyumbani chumbani naona gari Hilo kuchungulia dirishani Kwenye Geti dah,my uncle yaani amekwisha kabisa yaani wamenipa kibahasha tu abebe ,basi yaani mama angu spent massive a
Amount of money to make him happy .my uncle alikuwa 38 years old .Basi mama akaamua akakae kwake and make him comfortable na ale balanced diet .Lakini kwa kweli it was the worse experience ever na Kuanzia hapo nikaacha kuwa na boyfriend yaani nilichanganyikiwa mnoooo.AIDS took my no 1 uncle I will never forget that .Kumuona mama angu anahangaika namna ile my mother cried almost everyday .AIDS took my uncle march 2 1993 .Nilijifunza kuwa na mtu mmoja na huyo ndio
Mume wangu mpaka sasa.AIDS is not a laughing matter it kills and destroys.
 
Mmmh Mh! Pole sana, hilo bwana ni gumu hata kulitolea ushauri sijui hata nianzie wapi tu. Anyway labda nikuulize tu je mlipima kabla ya kufunga ndoa? Na je huyo mkeo anasemaje baada ya kukutwa na hali hiyo, je anahisi alikua na mahusiano mengine na pengine ndio yaliyopelekea kuambukizwa kwake. yeye anasemaje hasa. Pia ktk kusoma majibu yako hapo juu kutoka kwa baadhi ya wachangiaji naona unampenda sana huyo mkeo na sioni kama uko tayari kuchukua uamuzi mgumu hata kama atakiri. Sasa fuata uamuzi ulio ktk moyo wako na kama utakua unampenda sana mkeo basi ni vizuri kufuata ushauri wa wataalam ili muweze kuishi kwa uangalifu .
 
kaka, usijali cha msingi mwambie mkeo huo si ugonjwa, ajue Virus si ugonjwa, UKIMWI ndo ugonjwa, anaweza ishi miaka mingi na virus hvyo, cha msingi ni kuwa makini na kutumia kondom, mkeo usimwache na pia baada ya miezi mi3 nenden mnpime tena, hosp tofauti. for real inauma hasa ukizingatia wewe huna, mwambie asiwaze ale bata atakuwa na furaha, wapo wengi wanaishi na virusi na wapo gud. akifikia hatua ya ugonjwa sasa wa ukimwi ndo balaa.
 
Condom zipo
zikipasuka? nadhani hata huyo mama hatokubali kufanya nae tena .kama ni muungwana! sidhani kama anaweza kumuweka mume wake hatarini
ila dah nawapa pole kwa kweli
 
KIKUNGU uje uone ushuhuda hapa! natalia jamani china tumefikaje/ alitibiwa china tu?
 
Last edited by a moderator:

Gud advice.. but kumbuka siku hiz ugonjwa wa ukimwi unaua vizurI si km zamani ...unakufa na afya yako
 
Poleni sana. Nendeni mkapime katika sehemu mbili tofauti ili kuhakikisha majibu mliyopewa mwaka jana hayakuwa na dosari.
 
KIKUNGU uje uone ushuhuda hapa! natalia jamani china tumefikaje/ alitibiwa china tu?

Unaongelea early 90's .Ilikuwa inatisha na mtu mnahangaika tu.Uko china auntie yangu alikuwa Anaishi Huko .Huyu kaka asimuache mkewe ,she needs love and support system .Unconditional love is all about .Mke wake mzima mpaka Leo ila hakuacha mtoto .
 
Last edited by a moderator:
Unaongelea early 90's .Ilikuwa inatisha na mtu mnahangaika tu.Uko china auntie yangu alikuwa Anaishi Huko .Huyu kaka asimuache mkewe ,she needs love and support system .Unconditional love is all about .Mke wake mzima mpaka Leo ila hakuacha mtoto .
wabongo wana unconditional love kweli? bora angekuwa ameolewa na muzungu eeh?
 
Gud advice.. but kumbuka siku hiz ugonjwa wa ukimwi unaua vizurI si km zamani ...unakufa na afya yako

Huwa watu hawaogopi yaani mtu Umeoa mwanamke mwingine,wanawake wanagombania mwanaume .Why ?ukipenda tulia
 

Kama alijua ana AIDS before hajawa na wewe basi muachane.In USA " it's a weapon of mass destruction " Kama unajua una AIDS na unaambukiza watu you go to jail for that
 

Kaka unconditional love it's for good and for worse.kaa nae usifanye nae mapenzi mtunze mpaka hapo mungu atapomwita.
 
KIKUNGU uje uone ushuhuda hapa! natalia jamani china tumefikaje/ alitibiwa china tu?

Chezea Natalia wewe, hiyo china ni mwanzo tu bado hajakuelezea alivyopokelewa na benzi nyeusi airport na msafara wa mafisadi,, business class seat kwenye KLM ya enzi hizo walizokaa uncle na mama yake nat,, bila kusahau zile check ups walizofanya germany, london na paris wakati wanataka ku prove anaumwa ugonjwa gani...

Ila jamani Ukimwi usikie tu kwa watu,, temea mate chini usikutokee, japokuwa kuna magonjwa yanatisha zaidi kama kansa, figo etc but ukimwi bado unasimama kama world biggest threat popote utakapoenda wanauheshimu Ukimwi
 
Last edited by a moderator:
Pole sana hii inatokea sana na nilishawai kukutana na swala kama hili!
Lakini na kushauri ukapime tena sehemu mbili tofauti.

Pia utakuwa tayari kuishi nae mkeo bila kushiriki tendo landoa?
Je mtoto ulimpima?

Unaonekana kumpenda sana mkeo, je unahisi mkeo ameupataje huo ugonjwa?
 
huwa sinaga imani na mtu aisee ningenyamaza kimya au niende mbali sana na ninapoishi kwa ushauri nasaha napiga na ndomu nihakikishe mtoto anazaliwa mzima hii ni zawadi tosha tu hamna haja ya kuoa mwingine!1
 
cancer ni noma kaka..ukimwi mtu mwenye hela anaweza kucheza nao mgonjwa hateseki .cancer hata uwe na sh ngapi lazima ikusoteshe vibaya mno
 

Ungechanganya na kisambaa kidogo maana hiyo lugha hata sijakuelewa.
 
aisee hii situation haitakaa ikutoke kichwani pole sanasana mlindeni mtoto asije athirika huu ndio ukumbusho wa ndoa aisee.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…