Mke wangu ni HIV Positive


U make me cry( ma eyes are full of tears) real umenitoa chozi Superman. Hapana mi siko DSM niko Mkoani lkn kwel tulienda Goverment hospital kupima na cjui nawezaje kuendelea kupata ushauri kutoka kwako. Nauhitaji kwel
 
Last edited by a moderator:
Mtihani unapokufika ndugu yangu,mshukuru Mungu na maisha yaendelee.As you have said there no option for death.Songa mbele mkuu kwa amani na furaha tele ukidumu sana katika maombi na kumtumainia Mungu.Mpende sana mkeo.
 

Kupima MARA MOJA HIV siyo conclusive. Ni lazima upime zaidi ya mara tatu kwa vipindi tofatuti. Hii ya mara moja haiuambii cho chote.
 
Mtihani unapokufika ndugu yangu,mshukuru Mungu na maisha yaendelee.As you have said there no option for death.Songa mbele mkuu kwa amani na furaha tele ukidumu sana katika maombi na kumtumainia Mungu.Mpende sana mkeo.

Thanks twende kazi
 
kumbuka kiapo kwa maradhi kwa ugonjwa! kaa nae mtunze na mtoto wenu
ila tendo la ndoa inabidi uwe padri maaka ukienda nje ni uzinzi huo
 
Hilo nalo neno!
 

Oooh no...sI hivyo..try kumpa moyo halafu kitu kimoja ningekushauri...apatiwe counselling zile za wanaoishi na virusi vya ukimwi zitampa nguvu ya ajabu..esp hospital za serikalu huwa kuna counselling nzuri...wala asiwe na pressure....huyo nnae mzungumzia their kid is 11 now....very healthy..mpe moyo mpe update info kuhusu status yake n atazoea..ukizingatia nae alijigundua alivyokwenda clinic ya ujauzito...same story
 
kumbuka kiapo kwa maradhi kwa ugonjwa! kaa nae mtunze na mtoto wenu
ila tendo la ndoa inabidi uwe padri maaka ukienda nje ni uzinzi huo

Condom zipo
 
mkuu supervisor pole sanana nakuombea uweze kuvuka haya majaribu yaliyokukuta salama.
Ushauri wangu usimuache mkeo na naomba umfanye awe na furaha kwa kuwa ulishaapa kanisani utaishi naye kwa shida na raha.
Kuhusu suala la yeye kuwa HIV+ na wewe kuwa HIV- usishangae kwa kuwa HIV hauenezwi kwa kujamiiana tu zipo njia nyingine pia, naomba utambue kuwa ili mtu apate virusi vya ukimwi ni lazima awe na receptors wa kupokelea vidudu hivyo. Kuna uwezekano mkubwa ww huna receptors wa HIV ndio maana mkeo anao ww huna, haya ni maumbile tu ila naomba usimnyanyapae kabisa kwa kuwa Mungu atakuwa na kusudio lake hapo.
 
The best way ilikua ni kupima kabla ya ndoa sasa huku mlikofikia sijui itakuaje bt kama wewe mwenyewe uko comfortable na hali yake mwaweza endelea tu ila wewe usiache kujikinga.
 
Bro pole sana,,, amini Mungu yupo na anakupenda sana,,, hakikisha unamtunza mkeo kwa nguvu , mali na akili zako zote...
 

Kukumbushia Final conclusion inatolewa na kipimo cha UNIGOLD..baada ya determine. ...
 
Last edited by a moderator:

Thanks mrere+tofali+superman ni zaidi ya ushauri jaman mbarikiwe najiona mwenye furaha
 
kwani hamkupima kabla ya ndoa.......?


Inaonekana alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu sana na katika mapenzi yao hakuwa wanatumia kinga so hawakuona kama kuna haja ya vipimo (hajasema hayo, ila ni mtizamo wangu maana wapo wengi sana ambao tunadoo sana ila ikifika wakati wa kutaka kufunga ndoa tunapima na wengine ndio hivyo tena nk)

Any yamekwisha tokea, anaitaji ushauri tumsaidie tu bila ya kuangalia ya nyuma, so if you something which can help him please angusha maushauri mwanana hapa jukwaani dada.
 
Mkuu Supervisor kama imethibitika huyo mkeo ana Ukimwi, kwanini unadhani ni busara kuendelea na Ndoa?
Mm nakushauri vunja hiyo ndoa, halafu kama ni maswala mengine ya kusaidiana kimaisha yaendelee kama kawaida.
Kati ya topic ngumu kuchangia ni kama hizi. Inatia huruma sana kumwacha mwenzako kwa kuwa tu amekutwa positive na tayari ana mimba yako. Kuamua kumuacha ni dhahiri kwamba itabidi uwatangazie watu wote kwamba mkeo ni positive. Ilihali katika hali ya kawaida mngependa hiyo habari iwe siri yenu na utunze heshima na sifa ya mkeo. Katika mazingira kama haya ukimuacha yupo likely kujiua maana atatambua wazi kwamba hiyo ni aibu kubwa kwake. Uamuzi huu unaweza kuwa mgumu sana. Ni bora mara mia muendelee na ndoa lakini mkatumia kondomu through out. Si vibaya kununua mabox na mabox. But kumwacha hata mimi nadhani ningeshindwa.
 
Nawaombea kwa MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu but kama kweli uliapa kanisani basi kuwa nae hata katika shida hiii kubwa
 
ukisikia mtihani ndio huo sasa ukimuacha tu atajiua hata kama makosa ni yake na ukiendelea kuwa nae mijitu itawaita wote waathirika duu..

komaa tu ndio maisha hayo mkuu..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…