Mke wangu na "Mheshimiwa Mbowe!"

yaani huyo sista wangu nimempenda sana. Asante kutuletea hili,maana hata mie nilishaanzisha hili kwa shem wako.
In one car sasa hivi, mambo ya kila mtu na gari wakati wote mwaelekea mjini hakuna. After all ni kwa faida yetu sote na familia nzima.
 
Nimefurahi kujua mkeo ana vitz.
 

Ecoli aliyekwambia ukioa unabaki na uhuru wako ni nani??
 
babu mi ndo nafanya shortlisting ya baba kivuli hapa, kivuli chako kina urefu na upana wa kutosha kukinga jua na mwezi 24/7?
Uzuri wa baba kivuli, si lazima awe na pesa....ukiwa mwongeaji mzuri na kupangilia hoja zako vizuri kama afanyavyo Mbowe, inshallah unatunukiwa nafasi.........Hebu nijaribu tuone.
 
kwa hiyo qualification yako ni pennyless na maneno kibao? hakuna majaribio hapa babu,job agency inahuika
Uzuri wa baba kivuli, si lazima awe na pesa....ukiwa mwongeaji mzuri na kupangilia hoja zako vizuri kama afanyavyo Mbowe, inshallah unatunukiwa nafasi.........Hebu nijaribu tuone.
 
Huo msaada unaotoa kwa huyo mdada umenikumbusha kauli ya Pinda kuwa kunawa wananchi nje ya majengo ya bunge wanawasubiri na kuwaomba pesa wabunge, so pesa za posho ndo zinafanya kazi hiyo lol' binafsi yangu naunga mkono hoja ya kiongozi wa upinzani nyumbani na ili mwende sawa ni lazima ufanye siasa shirikishi ili uweze kuakomodeti matakwa ya wengine
 
Ukiona mwanaupinzani kaamua ivyo ujue kuna mahali ulianza kufisadi muda wa kukaa na familia. Unatoka alfajiri watoto wamelala, ukirud ucku wa manane wamelala tena na ni mfumo huo kila cku, unataka afanyeje huyo mama zaidi ya kuweka baba kivuli wa kuacomodate psychological needs kwa watoto na physiological kwa mama? I knw hzo pombe sio chai ukifika ur third limb haiwezi kutoa umeme......! Cant imagne house boy atakavokuwa ba kivuli....
 
mmmh nimecheka bila kutarajia, anyway vigezo na masharti ya kuchagua "baba kivuli" ni yepi? maana mmmmh......
 
kwani we ecol upo kambi ya CCM??coz mkeo tayari mpinzani...jivue gamba bana!!
 

Nampa hongera sana huyo mke wako.....amewaza jinsi gani ya kukupata, ameona aje na gia ya kubana matumizi!! Kwanini unaogopa hivyo kutembea na mke wako kama huna agenda za siri????!!!!
 
Taratiibu mwana kwetu sasa Somalia tena!!!nikushauri utumie socialist demokrasi badala ya ile ya kiliberali...itakusaidia kuown enterprises muhimu za wapinzani
 
Duh, hii kali sana, ijumaa yangu itakuwa safi kweli kumbe hawa akina mama wako kama Mbowe eeeh, ndio maana jana nimenuniwa home kisa eti housegirl wetu ambaye aliondoka tu mwenyewe kaja jana usiku, hana sababu ya msingi iliyomleta, mara nikashtukia nimeitwa chumbani, kufika naulizwa kafwata nini huyu?? nilishtuka ila nikajibu kwa ujasiri na hekima tu kuwa, ni vyema tukamuulize yeye na sio mimi!!!
 
Ecoli, asikwambie kitu huyo ana'jitafutia umaarufu' tu.

Wewe mwambie sio abane usafiri tu, zile pesa za posho za saloon ndio zing'oke mwanzo na pesa za mchango wa kitchen party zifuatie haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…