Mke wangu anatatizo la kukosa hedhi kwa muda mrefu yaani uchukua miezi 3 Hadi minne na akianza kupata tumbo chini ya kitovu lina muuma kupita kiasi na wakati mwingine hedhi yake uambatana na mabonge na damu nyeusi nimejaribu kwenda hospital kadhaa lakini tatizo halijapatiwa ufumbuzi huu ni mwaka wa tatu sasa naombeni msaada iliniweze kulimaliza hili tatizo ndugu zangu.