Mke wangu anatokwa na uchafu na damu ukeni

youngashley

Senior Member
Apr 26, 2013
187
52
Ndugu zangu, naombeni msaada mchumba wangu anatatizo lakutoka vitu vyeupe kwenye uke wake, nikama mafuta ya mgando hivi.

Pia wakati mwingine hutoka mabonge ya damu yaliyoganda nakuwa kama ngozi ya kuku na kutoa harufu kali, na hiyo hali ikimpata anapatwa na maumivu upande mmoja wa nyonga kiasi cha kushindwa hata kutembea.

Pia akiingia hedhi maumivu anayosikia nimakali mno, mpaka kupelekea kutapika, kupatwa na kizunguzungu,

Pls msaada namna ya kumaliza hili tatizo, naye awe na furaha kama wengine pls

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu ,naombeni msaada mchumba wangu anatatizo lakutoka vitu vyeupe kwenye uke wake ,nikama mafuta ya mgando hivi.

pia wakati mwingine utoka mabonge ya damu yaliyoganda nakuwa kama ngozi ya kuku na kutoa harufu kali,nahiyo hali ikimpata napatwa na maumivu upande mmoja wa nyonga kiasi cha kushindwa hta kutembea.

Pia akiingia hedhii maumivu anayosikia nimakali mnoo ,mpk kupelekea kutapika ,kupatwa na kizunguzungu,

pls msaada namna ya kumaliza hili tatizo,naye awe na furaha kama wengine pls

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Yaan kila siku matangazo huyasikii kwenye radio unataka had mtu afe au.. hzo dalili ni mbaya mpeleke hospital.. ushawai sikia kuhusu kansa ya kizaz? Au PIDs..

Una elimu gan kwanza mtoa mada.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Yaan kila siku matangazo huyasikii kwenye radio unataka had mtu afe au.. hzo dalili ni mbaya mpeleke hospital.. ushawai sikia kuhusu kansa ya kizaz? Au PIDs..

Una elimu gan kwanza mtoa mada.
Elimu sio ishu ya kusema kwamba nimekosa suhisho ,ishu nikwamba nimefanya jitiada zote za hospitali lakini ishu iko palepale

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu ,naombeni msaada mchumba wangu anatatizo lakutoka vitu vyeupe kwenye uke wake ,nikama mafuta ya mgando hivi.

pia wakati mwingine utoka mabonge ya damu yaliyoganda nakuwa kama ngozi ya kuku na kutoa harufu kali,nahiyo hali ikimpata napatwa na maumivu upande mmoja wa nyonga kiasi cha kushindwa hta kutembea.

Pia akiingia hedhii maumivu anayosikia nimakali mnoo ,mpk kupelekea kutapika ,kupatwa na kizunguzungu,

pls msaada namna ya kumaliza hili tatizo,naye awe na furaha kama wengine pls

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Njoo pm
 
sasa hayo mamgando meupe ndo ejukuleshen ishafanyika halafu inakuja mabongenge ndo hedhi yenyewe lakini kwanini na wewe unasokomeza macho yako kufatilia uchi kiasi hiko? utaathirika kisaikolojia,,

anyway yaobekana anaugwadu hajatwomb mdaa.
Eti?Watu mna maneno.
 
Back
Top Bottom