The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 812
Naloliii mbombo ngafu mweeee
Ndalama ngafu Wewe..
Nami nimeshangaa, mimba wanapima kwa x-ray? Huyu jamaa atakuwa bogus, yaani wife anamdanganya mchana kweupee halafu anakuja mbiyo jf. Tumsaidie mimba inapimwa kwa kutumoia ultrasound mkuu, peleka huyo akapimwe.
Amekuchoka
Obviously mapenzi yake kwako yamechuja...its either she's seeing someone else...or shes just not feeling it like b4
Hahaha. Bado najaribu kuunganisha u-jini mahaba na kulala, ila naona nyota tu.